Assalam aleykm warahmatullah wabatakatul! Naomba kujuzwa juu ya ulaj/ kutokula daku.Je nikiacha kula daku funga yangu itaswih?
j4 mbali sana inshaallah kesho swaumu ghadyNilikuwa natazama Islam channel Dstv wametangaza kesho mfungo unaanza inshaallah
Sie ni j4 sio
ShukranTaarifa kwa waislam. (Ofisi ya mufti wa tanzania) kamati ya kitaifa ya masuala ya mwezi inawajulisha waislamu wote kuwa Leo tarehe 5/5/19 kuonekana kwa mwezi hakujathibiti mbele ya mh mufti wa tanzania shk abubakar zuber mbwana.wala mbele ya kadhi mkuu tanzania bara shk abdallah mnyasi.wala hakujathibiti mbele ya mufti wa zanzibar shk swaleh kaab.wala mbele ya kadhi wa znz shk haji khamis. Wala hata jirani zetu kwa kauli ya kadhi wa kenya.hivyo mnatangaziwa rasmi kuwa huu ni usiku wa wa mwezi 30 shaaban. Kesh tunatimiza shaaban 30.hivyo basi ramadhan tutaanza rasmi siku ya jumanne 7/5/2019.ofisi ya mufti ya wa tanzania na mufti wa zanzibar.inawatakia waislam wote ramadhan mubaarak. (Shk alhad mussa salum)katibu wa kamati ya kitaifa ya mwezi muandamo na shk wa mkoa wa dsm)والسلام عليكم ورحمة الله وبركاته
Baada ya hii taarifa, hakuna taarifa yoyote iliyotufikia kama mwezi ushaonekana.
Hivyo mimi na wengine tutafunga j4 insha Allah...
Shukran
Mwezi umeandama kenya.watu tunafunga kwa muandamo wa kenya.
Sasa wapi ambapo hatufuati mwandamo?
hii pia inqharibu swaumu mkuu
Kwasababu wanaume wanawadinya wanawakeNachoshangaa mbona wanawake hatukeugaki kuwatazama wanaume kwa tamaa!!
Basi mkuu yaishe, nilikuwa namaanisha kwa hapa kwetu.
Nachoshangaa mbona wanawake hatukeugaki kuwatazama wanaume kwa tamaa!!
Kilichokuwa bora Mama Debora
Ni kutoharibu uzi,na vitu hususan Picha za ajabu ajabu katika uzi huu
Tunakuomba na kukusihi sana
Nataraji utakuwa muelewa Ndg
We FALA nini, kwani mie ndie niliepost hiyo picha!!!
Hata hii nayo pia inatumika
اللهم اني لكسمت، وبك امنت، وعلا رزكك افطرت، وعليك توكلت.
Dua nzuri sana[emoji261] ﷽[emoji261]
الحمد لله والصلاة والسلام على رسول الله وعلى آله وصحبه أجمعين ..
[emoji871]Ewe Mola wangu mimi hakika ni mja wako dhaaifu na wewe ni Mola wangu Latwifu.
Sina wa kumlilia zaidi yako Ya Hannan Ya Mannan.
Wewe ndio tegemeo la huzuni zangu na unyonge wangu.
Hakika ulimwengu waweza kunitupa lakini wewe daima utanienua na kunirehemu.
Mola wangu umenihifadhi tangu katika tumbo la mama yangu mzazi hadi leo kufikia kua hali nilio.
Nakuomba kwenye shari uniepushe na kwenye mazuri uniongoze.
Nikikosa unisamehe na nikipata nitosheke na kuridhika.
Mapenzi yako hakika ni makubwa kwetu Ya Rabb. Adhabu zako ni kubwa na msamaha wako ni mkubwa zaidi.
Ya Rabb twalia kwa dhambi zetu na tuko chini ya twaa yako ya Rahmaan.
Ya Rabb usipotusamehe na kutughufuria hakika tutakua katika hasara.
Itakuaje siku ya siku tutakapo simama mbele yako ya Rabb na huku tukingoja majibu yetu na kupewa vitabu vyetu.
Hakika hio itakua siku nzito kwetu.
Ya Rabb tujaaliye kufaulu duniani na akherah.
Ya Rabb tujaaliye nyoyo zenye kutubu kwa dhambi zetu, nuru katika majumba yetu, huruma kwa wenzetu , ihsaani kwa jirani na waisilamu wenzetu.
Ya Rabb tujaaliye mwisho mwema sisi na familia zetu.
Ya Rabb tusamehe dhambi zetu za siri na dhahiri.
Ya Rabb tujaaliye wema na huruma bayna yetu.
Ya Rabb tujaaliye kauli njema kwa wenzetu na maneno mazuri bayna yetu.
Kila mkosa Ya Rabb muongoze na kila mwenye matatizo mpe wepesi.
Ya Rabb tujaaliye kua mbali na fitnah na ubaya.
Ya Rabb Ya Rabb Ya Rabb tujaaliye vizazi vyema .
Ya Rabb kwako ndio tegemeo la kila mnyonge na mwenye tatizo.
Ya Rabb tupe muongozo wa dini na tujaaliye kua mbali na jahhanam.
Ya Rabb Ya Rabb Ya Rabb tujaaliye kila la kheri na tawfiq.
سبحان ربك رب العزة عما يصفون، وسلام على المرسلين، والحمد لله رب العالمين.
آمين.. آمين.. آمين
Muhimu ni usahihi wa Hadithi
Ikiwa Hadithi ni sahihi,Basi itakuwa Dua bora sana
Na kama si sahihi
Lililokuwa zuri,ni kuachana nayo,na kutafuta sahihi na kushikamana nayo
Wew sio muislamu kwenye ule uzi Jana si uliandika hivi nanukuu maandishi yako "Waislamu mna kazi kweli" Aburr Dharr usimjibu huyu kiumbe asikuchoshe na funga yako.We Kaka kama mtu nina tatizo LA kiafya (mfano matatizo ya tumbo) yanayonilazimu kutopitisha Massa kadhaa bila kula, je mwezi wa ramadhani natakiwa nifanyeje.
Kuna mtu kaniambia eti lazima kufunga hivohivo sababu swaumu ni nguzo ya dini.
Natakiwa nifanyeje! Nisaidie.
Kwa wenye matatizo ya kiafya au walio safarini wameruhusiwa kula ila matatizo yao yatakapoondoka wanatakiwa walipe funga zao. Je wewe ulieuliza hili swali utafunga?!We Kaka kama mtu nina tatizo LA kiafya (mfano matatizo ya tumbo) yanayonilazimu kutopitisha Massa kadhaa bila kula, je mwezi wa ramadhani natakiwa nifanyeje.
Kuna mtu kaniambia eti lazima kufunga hivohivo sababu swaumu ni nguzo ya dini.
Natakiwa nifanyeje! Nisaidie.
We Kaka kama mtu nina tatizo LA kiafya (mfano matatizo ya tumbo) yanayonilazimu kutopitisha Massa kadhaa bila kula, je mwezi wa ramadhani natakiwa nifanyeje.
Kuna mtu kaniambia eti lazima kufunga hivohivo sababu swaumu ni nguzo ya dini.
Natakiwa nifanyeje! Nisaidie.