Shadeeya yupo busy akiandaa vileja, vibibi, mikate ya kumimina, kachori na chatney yake, uji wa pilipili manga, chapati, vitumbua, nyama za kukaanga nk.Shadeeya tia neno mbon kimya kimya
Mpo wengi sanaa 😂Tunaosubiri mwezi wa بكوتي tunyooshe mikono juu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
Mwenzangu tarawehe tutaswalia majumban maan hamn budi mpe haiShadeeya yupo busy akiandaa vileja, vibibi, mikate ya kumimina, kachori na chatney yake, uji wa pilipili manga, chapati, vitumbua, nyama za kukaanga nk.
Usidhani anavila vyote yeye mwenyewe, bali mwezi huu hua anakithirisha kutoa sadaka ikiwa ni pamoja na kuwapelekea futari waliofunga. Unajua tena Ramadhani safari hii imekuja katikati ya changamoto ya maambukizi ya corona, kwahiyo hakuna kukusanya watu kuwafuturisha. Hata tarawehe sijui itakuwaje Wallah
Anakusikia mwenyeweMwenzangu tarawehe tutaswalia majumban maan hamn budi mpe hai
Kaka hata wewe unasubiria huo wa Bakwata? 😂😂😂Tunaosubiri mwezi wa بكوتي tunyooshe mikono juu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
Ramadhani ndio hiyo mdogo wangu tujitahidi kadri ya Uwezo wetu tuwe ni wenye kuikamilisha hii nguzo ya Uislam vile itakiwavyo.
Namsubiri atujibu maana naamini tuko nae nchi moja sasa kwanini afuate nchi ya mbali!Kaka na mie nipo naskiza hizo sababu. [emoji101][emoji101][emoji101]
Mie naanza kufunga kesho lakini Ses. 😀Shadeeya yupo busy akiandaa vileja, vibibi, mikate ya kumimina, kachori na chatney yake, uji wa pilipili manga, chapati, vitumbua, nyama za kukaanga nk.
Usidhani anavila vyote yeye mwenyewe, bali mwezi huu hua anakithirisha sana sana kutoa sadaka ikiwa ni pamoja na kuwapelekea futari waliofunga. Unajua tena Ramadhani safari hii imekuja katikati ya changamoto ya maambukizi ya corona, kwahiyo hakuna kukusanya watu kuwafuturisha. Hata tarawehe sijui itakuwaje Wallah
IN SHAA ALLAH! Atatujibu [emoji23][emoji23][emoji23]
tupe tafsiri kwa kiswahili ndugu yetuبسم الله الرحمن الرحيم
اللهم انت الملك، لااله الا انت، انت رب وان عبدك، الظلمت نفسي وعترفت بالذنبي، فغفرلي ذنوبي جميع، انه الا يغفر الذنوب الا انت، وحدني لاحسن الاحلاك، لا يهدي لحسنها الا انت، وصرف عني سياهي لا يصرف عني سياهي الا انت، لبيك وسعديك، والحير كله بيديكا، والشر ليس اليكا، انبك واليكا، تباركت ربنا وتعليكا، نستغفروك واتوبي اليكا.
Nimesoma dua hii kwa kumtaka msamaha Allah (S.W), kwani mimi ni mja wake pia ni kiumbe dhaifu. Sio vibaya kila mmoja wetu kuisoma dua hii.
"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
Wewe ni kama mimi na wengi wengine. Kwa hapa Tanzania tunaanza kufunga Ramadhani kesho panapo majaaliwa yake MunguMie naanza kufunga kesho lakini Ses. 😀
Wewe ni kama mimi na wengi wengine. Kwa hapa Tanzania tunaanza kufunga Ramadhani kesho panapo majaaliwa yake MunguMie naanza kufunga kesho lakini Ses. 😀
Insha Allah.Wewe ni kama mimi na wengi wengine. Kwa hapa Tanzania tunaanza kufunga Ramadhani kesho panapo majaaliwa yake Mungu
Kila la kheir mamiiInsha Allah.
Ndugu yangu kuhusu tafsir kidogo kuna baadhi ya maneno yananitatiza kitafsiri halisi halisi kwa kiswahili, lakini ngoja nikupe namna ya hayo maandishi yanavyotamkwa.tupe tafsiri kwa kiswahili ndugu yetu
pia kwa faida ya wengi itakuwa vizuri kwani Mungu anasikia lugha zote, ambao hatutaweza kuisoma kwa kiarabu tuisome kwa kiswahili