Vipi wale ndugu zako ambao walifunga kesho yake uliwajulisha kuwa mwezi umeonekana baada ya kupata habari za kuonekana kwake? Isije ikawa ulisikia na ukaamua kukaa kimya na taarifa hiyo ili mradi tu mtofautiane katika kuanza swaumu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mtu aliyehirimia ibada ya hijja na umra haruhusiwi kuchinja ama kuwinda hadi pale kwenye sikukuu ya Eid Al-adha.Inafaa mkuu kwa sababu hakuna dalili inayokataza
Inaswihi mkuu kwa sababu hakuna dalili iliyokataza kuchinja mwezi wa ramadhani.
Hadithi zimeruhusu kuchinja katika nyakati zote mpaka nyakati za swaumu kama hizi.
Sawa mkuu,, nmekuelewa lakini hujanijibu kadri nilivyouliza kuwa je wewe kwa nafasi yako ulijulisha watu kuwa mwezi umeonekana ?wenyewe mpaka Bakwata watangaze
Sawa mkuu,, nmekuelewa lakini hujanijibu kadri nilivyouliza kuwa je wewe kwa nafasi yako ulijulisha watu kuwa mwezi umeonekana ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mtu aliyehirimia ibada ya hijja na umra haruhusiwi kuchinja ama kuwinda hadi pale kwenye sikukuu ya Eid Al-adha.
"رمضان كريم وصوم مقبول"
Kwa soteNaam akhy umenizindua hapo Allah akubaariki katika nyakati hizo kama ulivyosema zipo adillah tele zinazoharamisha mtu kuchinja katika nyakati hizo ulizotaja.
Allah akulipe mana pengine ilisomeka vibaya mtu akaelewa kuwa hata kuchinja nyakati za hijja na umra haifai.
Allah akulipe kheri,wacha niediti isomeke vizuri zaidi.
18 kwa 19Nimevurugwa kabisa. Hivi jamani leo ya ngapi?
[emoji2398][emoji769]
Yaani hii huwa inanitokea sana, siku zinaenda kasi sana asee.Nimevurugwa kabisa. Hivi jamani leo ya ngapi?
[emoji2398][emoji769]
Mwezi ulikuwa na asilimia 0.2, ni ndogo sana katika ukuaji wake kuonekana. Kinachofanyika ni kutumia vifaa kama telescope, haina shaka umaweza kuwa sawa lakini ni kufuatana na Sunna ya mtume.
View attachment 1429164
[emoji115][emoji115]Hii ni jana
[emoji116][emoji116] hii leo ukiwa na 3.5% ya ukuaji wake
View attachment 1429168
Kila la kheri tukutane kwenye kufungua IN SHAA ALLAH. SWAUM MAQBUL [emoji120][emoji120][emoji120]
"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
The moon - Phases CalenderApp gani hii mzee!?