Vipi wale ndugu zako ambao walifunga kesho yake uliwajulisha kuwa mwezi umeonekana baada ya kupata habari za kuonekana kwake? Isije ikawa ulisikia na ukaamua kukaa kimya na taarifa hiyo ili mradi tu mtofautiane katika kuanza swaumu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app