Rudi kasome ulicho andika afu uje unijibu kama habari na hoja mchnganyiko hupaswa kuekwa habari za wakristo tu, pia uniambie nasaha zinatolewa wapiChuki iko wapi kwenye swali lile la kwanza,maana hakika kama ipo nitaomba radhi hapahapa.
Nakupuuza maana unanichafulia uzi huuHuna cha kunidharau,huna.
Kama ndio majibu yenu haya hata hizo pepo anzeni kujitafakari kama mnafaa.
ChiefHujui chuki iko wapi ina maana hii ndio mada ya kwanza inayo husu Dini ndani ya hili jukwaa?
Je Sheria za jukwaa hili zimekataza members kuandika kuhusu dini zao?
Kaa utulie uliyo yapata ndio ulio yatafuta.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Muacheni huyo km vipi block tuMpuuzi mkubwa Sana wewe,ngoja nikudharau Tu
Uwe na usiku mwema
Puuza,uzuri wajinga wengi kiroho wapo upande huo,hawana tumaini.Nakupuuza maana unanichafulia uzi huu
Hata Mimi pia ukhty, Huwa sipendi na sio mtu wa kudili na watu wapuuzi lkn wakati mwingine inabidi tulazimike japo Kwa uchache kufanya hivyoMimi kanikera, sina hulka ya kujibu design ya huyu lkn leo nimelazimika
Amiin amiinWalykm ssalaam warahmatullah wabarakaatuh
Allah akulipe kheri Ukhty kwa ukumbusho huu.
"Allah atujaalie tuwe miongoni mwa wataka udiriki mwezi wa Ramadhani na atujaalie tuwe ni wenye kunufaika na ujira wa Ramadhani."
Swadaqta yaa akhyAmiin ukhty wangu
Hakika umefanya Jambo jema Sana la kutuzindua na kukaa tayar tayar Kwa mgeni wetu adhwim kabisa mwezi mtukufu wa Ramadhan...
Jazakallahu kheir Al akhySwadaqta yaa akhy
Ikiwa mfungaji anajizuia na yale ambayo ni halali kwake, kama kula, kunya n.k
Hivyo kujizuia na maovu na mambo ya kipuuzi, na yoote yasiyompendeza Allah, ni bora zaidi.
Lakini wengi hujisahau na kuona swaumu ni kujizui tu na yale yenye kufunguza, huku wakifanya mambo ambayo yanapoteza thamani ya funga au kuibatilisha kabisa.
Amesema Mtume wa Allah rehma na amani ziwe juu yake" Yule ambaye hataacha maneno ya uongo na kuyafanyia kazi, na ujinga, basi Allah hana haja na swaumu yake".
Na wanasema wanawachuoni hapo kwenye ujinga yanaingia pia maaswi.
نسأل الله السلامة و العافية.
Msikitini hapatoshi neno la mungu ni vizuri likawekwa kila mahali na jf haikatazi hilo nimuhimu kueshimu tu sheria na taratibu thread hukiona upendezwi nayo unaachana nayo tu..Wakuu naomba kujua,hivi misikitini hapatoshi kufundisha na kukumbushana haya mambo mpaka tulete threads kidini za kuhusu kundi la watu fulani kwenye jamii yenye mchanganyiko kama jf?,
Maana hapa jf si kwa waislam tu,ni wakristo pia,naona haya yangefaa yawe maalum kwa watu wa imani husika,sasa hapa jukwaani yana umuhinu gani mambo haya?,
Hii ingependeza kuwa ndio utaratibu au maisha ya kila siku na si mwezi mmoja tu.Amiin ukhty wangu
Hakika umefanya Jambo jema Sana la kutuzindua na kukaa tayar tayar Kwa mgeni wetu adhwim kabisa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Ningependa kutahadharisha upande wa kuepukana na mambo yote ambayo ni ya kipuuzi wakati WA Ramadhani.
Wakati WA Ramadhani sio Mda wa kushinda unaangalia series au movies mchana kutwa ili Muda uende ufike wasaa WA magharibi ufuturu,huo ni upuuzi na unahatarisha funga yako na kukosa fadhila kubwa za mwezi huo.
Sio wakati WA kununua Karata na Domino na kucheza vijiweni eti Mda uende mfike magharibi na mfungue Swaumu,hakika Hilo sio kusudio la mwezi wa ramadhani.
Sio Mda WA kukaa vijiweni na kupiga soga na kusengenya watu,maana mtaongea ya kuongea mtajikuta mwisho wa siku mnaanza kusengenya,ni kujitafutia madhambi bure na kujikuta mnashinda na njaa bure bila malipo yoyote Yale.
Huo ni mwezi mmoja lakini Kwa wanao jua thamani yake na kujitenga na mambo yote ya kipuuzi hakika kwao ni kama mwaka kwasababu wanazinyima nafsi zao na Yale yote ambayo huwafanya wafurahi na kujipinda na kujitenga nayo Kwa kusudio moja Tu nalo ni kujikurubisha Kwa Allah Kwa kutaraji radhi zake na fadhila zake.
Ni Bora mchana WA Ramadhani ulale kwani utapitwa na mambo mengi ya kipuuzi kuliko kukaa vijiweni na kufanya mambo ya kipuuzi
Kama halikufurahishi, unapita tu.Wakuu naomba kujua,hivi misikitini hapatoshi kufundisha na kukumbushana haya mambo mpaka tulete threads kidini za kuhusu kundi la watu fulani kwenye jamii yenye mchanganyiko kama jf?,
Maana hapa jf si kwa waislam tu,ni wakristo pia,naona haya yangefaa yawe maalum kwa watu wa imani husika,sasa hapa jukwaani yana umuhinu gani mambo haya?,
Kashike nyaya za umeme kama umeudhika sanaWakuu naomba kujua,hivi misikitini hapatoshi kufundisha na kukumbushana haya mambo mpaka tulete threads kidini za kuhusu kundi la watu fulani kwenye jamii yenye mchanganyiko kama jf?,
Maana hapa jf si kwa waislam tu,ni wakristo pia,naona haya yangefaa yawe maalum kwa watu wa imani husika,sasa hapa jukwaani yana umuhinu gani mambo haya?,
Umeuliza nn?Haya ndio majibu yenu.
Jamani hivi ndivyo mnavyofundishwa kujibu watu wawaulizao maswali?,