Ramadhan Special Thread

Chief

Wapuuzi kama hawa najua unajua kuishi nao, Mimi nimemalizana nae
 
NIMEACHANA NA NINYI,WAISLAM NAWAJUA AKILI ZENU,SIKU ZOTE MNAONA MNAONEWA AU KUWEKWA CHINI.

Endelezenj matusi yenu,ila mtu akiwa ana akili atajua tu uhalisia wenu kupitia uzi huu,dini imewafanya wengi wenu mmeacha utu,sikuona haja ya mtu kuniita kafiri,au nateseka,au eti nimemkera kisa swali dogo namna ile.
ANAYETAKA NIONGOKE AONGOKE YEYE KWANZA,MAANA UISLAM HALISI SIO HUU WA KUJIBU WATU SHIT NA KUJIFANYA HAMTAKI MASWALI.

HIVI WAKATOLIKI WAKIWEKA MADA ZAO,WALOKOLE,WAYAHUDI,WAHINDU,WASABATO,WOTE WAANDIKE MAMBO YAO HUMU,TUTAFIKA KWELI?.

MIMI NAJUA IPO SIKU KWELI ITAWAWEKA HURU,OTHERWISE MMEJIFUNGIA KWENYE VIFUNGO VYA KUTOULIZA MAMBO NA NDIO MAANA ILIM YA DINI MNAJUA YA JUU JUU NA UPOTOSHAJI.

HATA HIVYO,MKISHINDWA NENO,WAULIZENI WATU WA KITABU.
 
Amiin ukhty wangu

Hakika umefanya Jambo jema Sana la kutuzindua na kukaa tayar tayar Kwa mgeni wetu adhwim kabisa mwezi mtukufu wa Ramadhan...
Swadaqta yaa akhy

Ikiwa mfungaji anajizuia na yale ambayo ni halali kwake, kama kula, kunya n.k
Hivyo kujizuia na maovu na mambo ya kipuuzi, na yoote yasiyompendeza Allah, ni bora zaidi.

Lakini wengi hujisahau na kuona swaumu ni kujizui tu na yale yenye kufunguza, huku wakifanya mambo ambayo yanapoteza thamani ya funga au kuibatilisha kabisa.

Amesema Mtume wa Allah rehma na amani ziwe juu yake" Yule ambaye hataacha maneno ya uongo na kuyafanyia kazi, na ujinga, basi Allah hana haja na swaumu yake".

Na wanasema wanawachuoni hapo kwenye ujinga yanaingia pia maaswi.

نسأل الله السلامة و العافية.
 
Jazakallahu kheir Al akhy
 
Msikitini hapatoshi neno la mungu ni vizuri likawekwa kila mahali na jf haikatazi hilo nimuhimu kueshimu tu sheria na taratibu thread hukiona upendezwi nayo unaachana nayo tu..
 
Hii ingependeza kuwa ndio utaratibu au maisha ya kila siku na si mwezi mmoja tu.
 
Kama halikufurahishi, unapita tu.
 
Kashike nyaya za umeme kama umeudhika sana
 
Shukrani KWA ujumbe murua,Allah karim aturahisishie tudiriki kikamilifu mwezi mtukufu wa Ramadhani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…