Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
samahani mkuuAsante mkuu
Labla nijazie tu kido KIBABA KIMOJA=600gram
★Pili kuhusu mama mja mzito Kama atashauriwa dactari kutokana na Afya yake ,huyu ataruhusiwa kula mchana wa ramadhani asiwe tena anakaa nje ndio anakula akae ndani na atalipa baada ya kuisha ramadhani.
Mama mjamzito akiwa hakufunga labla kwa kuhufia afya ya mtoto wake ,huyu atalipa kufunga na pia hatawarisha masikini yaani atatoa kibaba kimoja =600gm, kwahio huyu atafanya yote mawili kwa pamoja.
★Kwa wale wanaodaiwa jamani mulipe kabla mwezi ujaanza
Kwa wale dada zetu mkiwa ktk siku zenu sio tena kwakua mmeruhusiwa kula basi tena unakaa nje unapigilia msosi jifiche sio tena kilamtu ajue upo katika sikuzako.
★Kuna wengine hasa mama zetu utawakuta wapo ktk mwezi lakini hali mchana hii hairuhusiwi utakuwa unakiuka amri ya ALLAH SUB HANA WA'ALA unajishindisha na njaa pasi na sababu.Muhimu kujihifazi wakati wa kula sio tena kila mtu akuone tuwe wasiri katika kula mchana wa ramadhani.
hivi na wewe ni muislamu kweli......????????????????MFUNGO UNAANZA LINI NA MIMI NIJITAHIDI KUFUNGA,,
NAWATAKIA MFUNGO MWEMA
SWALI;KWA MUME NA MKE WANOISHI PAMOJA BILA NDOA KWENYE MFUNGO HAPO INAKUAJE
kweli kabisaHamna mme na mke bila ndoa katika Uislam, hao ni mahawara na wanafanya zinaa, zinaa ni uchafu ktk Uislam, km alivyosema Allah fil Qur'anil kariim kwamba;
"Na msiikurubie zinaa hakika zinaa ni uchafu na ni dhambi kubwa"
Ili ufunge unatakiwa kuwa tohara, na hao watu wawili hawako tohara inaamaana hawana funga wanashinda na njaa.
Mkuu m'na jua kupekua na kuchunguza kweliView attachment 514157Ukhuty huyu ni wewe au?? Nimem'bamba mahali maneno anayopenda kuyaongea na wewe ndo hayo hayo unayapenda halafu kingine na yeye anaitwa Ukhuty
View attachment 514158
ila tuache uongo wana ndoa wengi huwa wana shinda njaa mwezi wa ramadhanSwadakta , Tenahii hata kwa wale wazee wa ndoa yabomani hawaruhusiwi pia coz haitambuliki kidini
hawa manaswara wana lao jambo si bureTunaomba amani katika uzi huu, hatuhitaji malumbano wala kero. Kula uwezavyo hakuna atakaekugasi na tuache na uislamu wetu na Mungu wetu
duh bro bila ndoa ni zinaa kabisa haram kabisa 17:32Hawaruhusiwi kushiriki tendo la ndoa mchana ,wanaruhusiwa jioni baada ya kufungulia.
ila ndoa hakuna kitu kama hicho ila wenye ndoa wamehalalishiwa usiku pekee bila ndo hata miez ya kawaida haramMFUNGO UNAANZA LINI NA MIMI NIJITAHIDI KUFUNGA,,
NAWATAKIA MFUNGO MWEMA
SWALI;KWA MUME NA MKE WANOISHI PAMOJA BILA NDOA KWENYE MFUNGO HAPO INAKUAJE
wataelewa tu hao mkuu wasikuumize kichwawewe nenda zanzibar kula.mchana
pia na penda kuku uliza jana first lady wa marekani alipo enda na mumewe kwa papa wa katoliki ali jifunika nywele zake kichwani kwa hiyo zanzibar 90% ni muslimu
Surah Al-Baqara, Verse 187:MFUNGO UNAANZA LINI NA MIMI NIJITAHIDI KUFUNGA,,
NAWATAKIA MFUNGO MWEMA
SWALI;KWA MUME NA MKE WANOISHI PAMOJA BILA NDOA KWENYE MFUNGO HAPO INAKUAJE
Mkuu huu Uzi ni kwa ajili ya Ramadan na si al shabab wala internet, nyinyi ndo mnaochinjwagaNasikia wale Al shabaab wanasemaga ni haram mwislamu kutumia internet ni kweli? Maana wao wenyewe wana account hadi Twitter.
mtihani mkuu hizi ndo zama za mwisho alizotabiri Mtume.(s.aw), waislamu dini tumeiweka pembeni tunahangaika na dunia, na mwisho wa hivi huwa mbaya sababu utakosa vyote, mfano mzuri tunao maisha yanaendelea kuwa magumu na imani zimetupoteaKatika mtihani mwingine unaotusibu waislam ni kukuta mke ama mume ndo anafanya ibada, familia nzima mtihani, Allah atunusuru.
Ndugu yangu katika imaansamahani mkuu
mimi huwa sipa elewi hapa m'napo
sema kwamba mama mjamzito aruhusiwi kufunga ila baada ya kujifungua alipe siku alizo kula mchana
SWALI:
Mama mja mzito baada ya kujifungua si ana ingia kwenye kunyonyesha na dhani n miaka 2 hivi.
pia mwanamke anae nyonyesha ni haramu kufunga sasa huyu mwanamke alie zaa ata lipa vipi swaumu yale ile ambayo aku funga kipindi cha ujauzito
hapa ndio huwa kwenye utata
maana mjamzito na anae nyonyesha ni haramu kufunga pia aruhusiwi kulipa au
.......msaada wenu
wabirah tofiq asalamu aleikumu
ina siki tisha sana hawa ndio waslamu jina tuSidhani kama ni muislamu huyo hajielewi kabisa,inaonekana yupo yupo tu kama bendera
Hapana ndugu yangu hance mtanashat huyo sio mimView attachment 514157Ukhuty huyu ni wewe au?? Nimem'bamba mahali maneno anayopenda kuyaongea na wewe ndo hayo hayo unayapenda halafu kingine na yeye anaitwa Ukhuty
View attachment 514158
nime elewa mkuuNdugu yangu katika imaan
Uislamu umelazimisha mama kunyonyesha kwa miaka miwili mfululizo(ceteris peribus)
Qur an inaeleza ikiwa mtu atashindwa kufunga kutokana na ugonjwa ama safari basi asifunge na itakapokwisha ramadhan basi atakuja kulipa.
Ikiwa mama ni mjamzito na baadae atanyonyesha kwa miaka miwili na ikiwa hali yake hatomuwezesha kufunga kutokana na udhaifu ama kufunga kwake kutapelekea mtoto kukosa maziwa basi hapana shaka sheria imemruhusu kutofunga.
Hivyo basi hatofunga wala kulipia kwa kuwa ndani ya miaka miwili atakuwa yupo katika kazi ya kunyonyesha.
Allah asema katika qur an kuwa hatakiini uzito bali anawatakieni wepesi hivyo basi mama huyu hatofunga na wala hatokuja kulipa swaumu alizopoteza kufunga,hakika allah ni mwingi wa rehma na msamaha.
NB
Allah ametuumba watu wenye nguvu na uwezo tofauti yupo yule alijaaliwa na allah nguvu na siha njema na akaweza kunyonyesha na kufunga bila hitilafu yoyote huyu aweza kufunga ila kwa yule mtu weak na ambaye hakujaaliwa basi hatofunga.
Wa- llahu aa'lam