Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uwongo dhambi...Jamani ndugu zangu katika imani Assalam alykum, jana kazini kulitokea upotevu wa pesa kama Million 1 na kadhaa sasa lile balaa kulikua na machaguo mawili.
1. Ningesema ukweli mimi ndo ningeonekana muhusika na hatua zingechukuliwa
2. Ningesema uongo muhusika nisingeonekana mimi
Dah japo nasikitika lakini nilidanganya ilihali nimefunga hii imekaaje dah[emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji24] [emoji24]
Nalijua hilo ila kuna baadhi ya shida zingine dahuwongo dhambi...
Kuna baadhi ya uongo mwengine unaruhusiwauwongo dhambi...
kama ni wewe umechukua sio vizuri rudishaJamani ndugu zangu katika imani Assalam alykum, jana kazini kulitokea upotevu wa pesa kama Million 1 na kadhaa sasa lile balaa kulikua na machaguo mawili.
1. Ningesema ukweli mimi ndo ningeonekana muhusika na hatua zingechukuliwa
2. Ningesema uongo muhusika nisingeonekana mimi
Dah japo nasikitika lakini nilidanganya ilihali nimefunga hii imekaaje dah[emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji24] [emoji24]
Masha Allah*HUKMU YA MUISLAM ANAYE FUNGA LAKINI WAKATI HUO HUO HASWALI*
السؤال: ما حكم الصوم مع ترك الصلاة في رمضان؟
Swali: *Nini hukumu ya funga ya Ramadhaan ya mtu asiyeswali?*
[emoji430]فأجاب الشيخ بن عثيمين رحمه الله:
*Akajibu Shekh Ibn 'Uthaimin -Allah Amrehemu:*
"إن الذي يصوم ولا يصلي لا ينفعه صيامه
*"Hakika yule ambaye anafunga na wala haswali hainufaishi funga yake*
ولا يُقْبَل منه ولا تبرَأ به ذمَّته.
*Wala haikubaliki kwake hiyo funga na wala haimuondoi yeye kwenye dhima ya kutekeleza hiyo funga (anahesabika kuwa hajafunga)*
بل إنه ليس مطالباً به مادام لا يصلي؛
*Bali hakika ya hiyo funga yake haihitajiki maadam haswali*
لأن الذي لا يصلي مثل اليهودي والنصراني،
*Kwasababu asiyeswali ni mfano wa Myahudi na Mnaswara (mkristo)*
فما رأيكم أن يهوديًّا أو نصرانيًّا صام وهو على دينه، فهل يقبل منه؟
*Mnaonaje iwapo Myahudi au Mnaswara akifunga na hali yuko kwenye dini yake, je atakubaliwa funga yake?*
لا. إذن نقول لهذا الشخص:
*Hapana, Haiwezi kukubaliwa, kwahiyo tunasema kumwambia huyu mtu:*
تب إلى الله بالصلاة وصم،
*Tubia kwa Allah, kwa kuswali na kufunga.*
ومَن تاب تاب الله عليه.
*Na atakayetubu, Allah atamkubalia toba yake".*
Niwatakieni mfungo mwema
Hapana si mimi ila ningesema ukweli kesi ingenihusukama ni wewe umechukua sio vizuri rudisha
Asalaam Aleikum!
Tule futari kwa kiasi jamani
Japokuwa Mtume (saw) anasema kufuturu ni furaha kwa mfungaji,ila pia anatufundisha wakati wa kula tuligawe tumbo sehem 3 chakula,maji na hewa(usishindwe kupumua)
Na haswa watoto wetu hizi ndizo hadithi za kuwafundisha kipindi hiki, tusisahau tumbo ndio mama wa maradhi.
Pia baada ya adhana ni vizuri kufuturu kwa tende badala ya maji baridi,juice n.k kuna faida nyingi za kiafya unapofuturu kwanza kwa tende
View attachment 516076
View attachment 516077
Asalam Alykum warahma tullah wabarakatuh