Bacyclerbacy
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 1,744
- 3,020
Mh Maashaallah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maashaallah,hakika swala ni muhimu kwa maisha ya muislam na hiyo ndo tofaut pekee Kati ya muislam na asiye muislamMwisho kabisa napenda kuwahusia kuhusu kuswali ,kamwe msipuuze swala kwa sababu yoyote ile isiyokuwa ya msingi
Huonekani besti au ndo kufichwa hukoMh Maashaallah
Jamn mbona nipo ww ndo adim sanaHuonekani besti au ndo kufichwa huko
Mambo vp lakin, Lile jambo lako limeenda sawia au bado bado?Jamn mbona nipo ww ndo adim sana
AminAllah atufanyie wepec,atujaalie afya InshaAllah tupate kufika tena na kufunga Ramadhani kwa imani
InshaAllah
Teh tehAmin
Unacheka nini dogo, umeshamaliza Kwaresma tulia.Teh teh
Tunakumbushana tu, panapo uhai na majaaliwa.![]()
Jumaa Mubbarak.[/
Hayo maneno ktk hilo bango ni uwongo Mnaomzulia Mtume
Bila kuswali huna funga kwasababuMkuu sala haiondoi funga
Hizo ni ibada mbili tofauti
Ila inashauriwa ukifunga uswali maana utapata thawabu nyingi sana
Ila ukifunga na usiswali funga yako inakubalika kama kawaida cha muhimu uwe umetia nia na umejizuia na yale yote yanayotengua funga.
In Shaa AllahAllah atufanyie wepec,atujaalie afya InshaAllah tupate kufika tena na kufunga Ramadhani kwa imani
InshaAllah