Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naaam sasa kusema ramadhan kareem (si nikusema ni heri ya kutakiana ukarimu/wema/huruma ndani ya mwezi huu)
Hata ulicho pinga sielewi naona umekubali comment yangu kwenye mwenzi Mtukufu tunakumbushwa kutoa Swadaka hapo Umeandika kwenye comment yako nilijua neno Karim ni lugha chafu kama ni hivyo acha nilitumie RAMADHAN KAREEM
Ndugu yangu hadithi hii ni sahih kabisa ila hapa kwenye emoji huwezi itumia hii.
Emoji ni katika maendeleo tu ya sayansi na technlojia na uislam unakubaliana na hali hii.
Hakuna uharamu wowote iwe kutoka kwenye qur an, hadith wala fatawa za ahlul ilmu
Kwa tafsiri yako hiyo unavoipeleka huoni hizi simu tunazotumia tunajifananisha na wengine wasiokuwa sisi?Rejea hadithi ya mtume amani ya Allah iwe juu yake isemayo "Mwenye kujifananiza na kaumu fulani,basi na yeye ni miongoni mwao"
Ramadhani kareem imekatazwa katika Quran, tuanzie hapo au ni kauli mbayaHuoni kwamba tamko Karimu limeabatana na tamko Ramadhan ?
Hivi kusema "Kitabu Changu" ni sawa nakusema "Kitabu" au "Changu" ?
Unatakiwa ujue kabisa kwanza hakuna Kiswahili cha "Ramadhan Kareem" sababu tamko hili limechukuliwa moja kwa moja kwa kiarabu ila kwa maandishi ya Kiswahili.
Kwani ile hadithi YaUmeshawahi kusoma sherehe yoyote ya hiyo hadithi ?
Pili,naomba uniambie asili ya ile ishara ya mikono miwili na maana yake. Kisha rejea katika ile hadithi utaelewa inaelezea nini.
Mkuu maana ya karerm ni nini mbona wahangaika sana?Huoni kwamba tamko Karimu limeabatana na tamko Ramadhan ?
Hivi kusema "Kitabu Changu" ni sawa nakusema "Kitabu" au "Changu" ?
Unatakiwa ujue kabisa kwanza hakuna Kiswahili cha "Ramadhan Kareem" sababu tamko hili limechukuliwa moja kwa moja kwa kiarabu ila kwa maandishi ya Kiswahili.
Kwa tafsiri yako hiyo unavoipeleka huoni hizi simu tunazotumia tunajifananisha na wengine wasiokuwa sisi?
Mbona waileta hadithi katika ujumla ambao hata wewe unakukamata?
Katazo la kutumia emoji kama linaingia katika hadithi hyo kwa nini kutumia kwako simu ambayo imoji ndo zimo humo isiwe katazo la kujifananisha na wasiokuwa sisi?
Hyo sherhe ambayo umeisoma imekataza emoji hyo kaisherehesha nani?Umeshawahi kusoma sherehe yoyote ya hiyo hadithi ?
Pili,naomba uniambie asili ya ile ishara ya mikono miwili na maana yake. Kisha rejea katika ile hadithi utaelewa inaelezea nini.
.kwani emoji ambayo kaitumia yeye amesema ni ibada au ametumia kama ada ya kuwakilisha jambo fulani?Hapa hujaelewa mambo,usichanganye kati ya mambo ya kiada na mambo ya kiibada. Fatilia asili ya ile ishara kisha uniambie ipo katila ada au ibada.
Suala la simu haliingii katika mambo ya kiibada,hii inategemeana na matumizi yako mwenyewe,ukiitumia kwa njia nzuri utapata faida ukiitumia kwa njia mbaya unapata madhambi,kwa maana hiyo hakuna ibada ambayo kusihi kwake sharti uwe na simu. H
Yeye ni mwingi wa maneno na mwingi wa kughafirikaRamadhani kareem imekatazwa katika Quran, tuanzie hapo au ni kauli mbaya
Kwani yeye aliitumia hiyo ishara kwa kufuatisha maana yao au alitumia hyo ishara kwa maana aliyokusudia yeye?
Ramadhani kareem imekatazwa katika Quran, tuanzie hapo au ni kauli mbaya
Mkuu KAREEM maana yake nini?Ramadhani Kareem haijathibiti,na kama wewe unasema hivyo kwa kutegemea ujira,lazima nitakuuliza tamko hili "Ramadhani Kareem" unelipata wapi ? Je umelipata kwenye Qur'aan au Hadithi au kwa maswahaba wa mtume ?
Nikisema tamko hilo halina asili namaanisha hulikuti kwenye Qur'aan,wala Hadithi walaathari za maswahaba. Je hilo litakuwa lina jema ?
Lakini je ni lipi bora kufanya lile lenye asili au kufanya lile ambalo halina asili ?
.kwani emoji ambayo kaitumia yeye amesema ni ibada au ametumia kama ada ya kuwakilisha jambo fulani?
Ok umeshinda huwa sipendi kubishana na muislamu mwenzanguRamadhani Kareem haijathibiti,na kama wewe unasema hivyo kwa kutegemea ujira,lazima nitakuuliza tamko hili "Ramadhani Kareem" unelipata wapi ? Je umelipata kwenye Qur'aan au Hadithi au kwa maswahaba wa mtume ?
Nikisema tamko hilo halina asili namaanisha hulikuti kwenye Qur'aan,wala Hadithi walaathari za maswahaba. Je hilo litakuwa lina jema ?
Lakini je ni lipi bora kufanya lile lenye asili au kufanya lile ambalo halina asili ?
Ramadhani kareem imekatazwa katika Quran, tuanzie hapo au ni kauli mbaya
Kupanga ni kuchaguaMkuu mimi ni muislamu sema kuna rafikiyangu alinionjesha kitimoto yani natamani kuachakula lakini siwezi kabisa huyu mdudu nimtam sana aise