Ramadhan Special Thread

Ramadhan Special Thread

Al akhy kwa hili, kama mwezi unazama saa 12 na dakika 8 possibility ya mwezi kuonekana ni ndogo sana kwa leo hii. Ikiwa sisi tuliofata Bakwata leo tupo mwezi 28 Ramadhan na waliotangulia wapo mwezi 29 Ramadhan. Kikubwa ni kusubiri ikiwa utaonekana kheri, na ikiwa utaonekana kesho kwa waliotangulia wao watakuwa wamekamilisha mwezi 30 Ramadhan na sisi tuliofata Bakwata tutakuwa mwezi 29 Ramadhan. Yote kheri. Ila kuanzia sasa naamini tukiwa tunafutilia miandamo ya miezi kwa miezi yote mingine naamini hakuna sehemu tutakuwa na utata.

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Ila kuanzia sasa naamini tukiwa tunafutilia miandamo ya miezi kwa miezi yote mingine naamini hakuna sehemu tutakuwa na utata.........yaah tukiwa na tendency ya kufatilia miezi yote 12 kutakuwa hakuna hizi tofaut, na BAKWATA wangekuwa na msemaji wao kila mwezi anatoa update za mwezi, ingewafanya waislam wengi kuwa aware.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
السلام عليكم ورحمت الله وبركات.
Leo kuna ilmu kidogo nimeipata kuhusu mambo ya miandamo ya mwezi wa Ramadhan. Ni kwamba ikiwa mwezi wa Ramadhan utaandama kwa kutimia Shaaban siku 30 basi mwezi wa muandamo kuingia kwenye Eid el fitri utaandamia 29 (Ramadhan itakuwa siku 29) na ikiwa mwezi wa kuandamisha Ramadhan utaandama kwa kutimia Shaaban 29 mwezi wa muandamo kuingia kwenye Eid el fitri utaandama kwa Ramadhan 30 (Ramadhan itakuwa siku 30).

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
Ila kuanzia sasa naamini tukiwa tunafutilia miandamo ya miezi kwa miezi yote mingine naamini hakuna sehemu tutakuwa na utata.........yaah tukiwa na tendency ya kufatilia miezi yote 12 kutakuwa hakuna hizi tofaut, na BAKWATA wangekuwa na msemaji wao kila mwezi anatoa update za mwezi, ingewafanya waislam wengi kuwa aware.

Sent using Jamii Forums mobile app



Mimi huwa namfuata mufti wa kiibadh wa omani they are very comfortable,na wala hawafuati mkumbo,,,tufunge kwa kuuona mwezi katika nchi yako, na tufungue kwa kuuona mwezi katika nchi yako na sio kuwafuata wasaudia au wa nchi nyingine.
 
السلام عليكم ورحمت الله وبركات.
Leo kuna ilmu kidogo nimeipata kuhusu mambo ya miandamo ya mwezi wa Ramadhan. Ni kwamba ikiwa mwezi wa Ramadhan utaandama kwa kutimia Shaaban siku 30 basi mwezi wa muandamo kuingia kwenye Eid el fitri utaandamia 29 (Ramadhan itakuwa siku 29) na ikiwa mwezi wa kuandamisha Ramadhan utaandama kwa kutimia Shaaban 29 mwezi wa muandamo kuingia kwenye Eid el fitri utaandama kwa Ramadhan 30 (Ramadhan itakuwa siku 30).

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Ngoja tuangalie kesho inshaaAllah maana tulifikisha 30 shaaban na kesho ni 29 Ramadhani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asalam alaykum,, naomba mwenye kujua majina mazuri ya kupewa mtoto wa kike wa kiislamu..
Majina yawe yanaanza na herufi "" F **
 
Back
Top Bottom