Ramadhan Special Thread

Ramadhan Special Thread

Ila kuanzia sasa naamini tukiwa tunafutilia miandamo ya miezi kwa miezi yote mingine naamini hakuna sehemu tutakuwa na utata.........yaah tukiwa na tendency ya kufatilia miezi yote 12 kutakuwa hakuna hizi tofaut, na BAKWATA wangekuwa na msemaji wao kila mwezi anatoa update za mwezi, ingewafanya waislam wengi kuwa aware.

Sent using Jamii Forums mobile app
Assalaam alaykum,
Al akhy vipi mzima wa afya, umepotea sana?
 
Ramadhan Mubarak [emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji120]
20210413_073221.jpg
 
Back
Top Bottom