Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
Hakuna namna kaka hahaha.Hhhhhhhhh kijana untka kuchukua jiko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna namna kaka hahaha.Hhhhhhhhh kijana untka kuchukua jiko?
Yaani wa kwanza ni mimi hapa Baljurashi alete ujumbe wangu mapema mno tuunganishe udugu mama.Kumbe kunawatu mnataka kunifanyia nusra na hamsemi 😀
Amiin tuzidi kuomba kheriYaani wa kwanza ni mimi hapa Baljurashi alete ujumbe wangu mapema mno tuunganishe udugu mama.
Dalili njema hii haya nipatie utaratibu.Amiin tuzidi kuomba kheri
Hebu nisaidie mkuu tuonje uji wa pilipili manga mara moja bado mapema.Hhhhhhh mshenga nipo tayari
Mtu akapikiwe uji jimboni kwake
Hapana hujafeli ndugu yanguHahaha aaamyn kwa kunikwepa huku nishafeli.
Ndugu umefunga?Hivi ndivyo binadamu tunatakiwa kua,kukumbushana mambo ya kheri,unaweza kufanya jambo dogo tu kama la mleta uzi Kumbe kwa MOLA ni jambo kubwa,tumuombe ALLAH atujaalie tuwe ni wenye kukumbushana mara kwa mara mpaka mauti zitapotufika.
Washa location 😀Dalili njema hii haya nipatie utaratibu.
Waalaykum ssalaam warahmatullahi wabarakatuhAssalam alleykum warhmatulah wabaraqatuh
Ndugu zangu mimi jumatatu nilipata ajali, alhamdulilah kiafya niko poa, ila upande wa uchumi siko poa ukizingatia bajaj yangu ndio ilikuwa kila kitu
Sasa kuna rafiki yangu, kwao mashallah amesema niwe naenda kufuturu kwao!
Kusema kweli nafeel shame hii imekaaje mana kwao ni extended family naombeni ushauri.
Nawe pia tunakuombea uwe na funga njemaNawatakia funga njema ndugu zangu waislam