Uchaguzi 2020 Ramadhani Ighondo, mgombea Ubunge Singida Kaskazini: Nitakuwa mkali kweli kwenye mambo ya maendeleo ya Jimbo letu

Kituko kingine cha mwaka.πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Hao jamaa wawili wenye mabuti Ni igo mmoja nilikuwa nae Harare zimbawe mwaka juzi tulipanda ndege moja
 
Hao jamaa wawili wenye mabuti Ni igo mmoja nilikuwa nae Harare zimbawe mwaka juzi tulipanda ndege moja
Analindwa na usalama wenzake huyo hajiamini kwa dhambi zake damu za watu halafu anajifanya muislamu
 
Kumbe taarifa zote ni unasikia tuu huna uhakika.
 
Gulamali alihonga Sana lakilaki kwa kila katibu kata hakushinda kwa halali ikabidi halmshauri kuu impe jamaa
 
NASIKIA DR STEPHEN ULIMBOKA NDO CAMPAIGN MANAGER WAKE. 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Vempire katika ubora wake 🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…