Ramadhani ile haipo

Anaijua mibungo huyo? 🤣🤣🤣
 
Ipo siku vitukuu vya uislam vitatupilia mbali mapokeo ya mababu zao.

Kwa mfano binti kama Zuchu alishatupilia mbali kuanzia mavazi nk.
 
Ipo siku vitukuu vya uislam vitatupilia mbali mapokeo ya mababu zao.

Kwa mfano binti kama Zuchu alishatupilia mbali kuanzia mavazi nk.
Hata wakati wa Yesu hakukubalika , Hao wanafunzi wake walikuwa matatizo matupu. Hakuna zama zisizo na waasi ,Yuda alimuuza kabisa huyo Yesu mwenyewe tena kwa bei chee tu, alipokamatwa Yesu hao wanafunzi wake ndio wote walimkimbia Mark 14:50
 
MZEE KAKIMBIA UZI
Anataka watu waishi kuzamani katika Dunia ya sasa.

Saudi Arabia 🇸🇦 leo pombe ruksa itakuwa Tanganyika yenye idadi kubwa ya wakristo 76.9%.

Dar ya 1956 ilikuwa Muslim city leo Dar Christian ni wengi kuliko Muslim.Waislam wengi wapo Mbagala 52:48,Mzee wa kukariri histohisia hajui mambo yashabadilika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…