Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Jina la kiwaki Hilo😀😂, Eid ili enda fresh karibu Kanda ya ziwa Kaka.Eid Mubarak sheikh Rama
Kuna ka big party day 2, tumalizie malizie hapa kwa Jobless pro max
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jina la kiwaki Hilo😀😂, Eid ili enda fresh karibu Kanda ya ziwa Kaka.Eid Mubarak sheikh Rama
Kuleni maisha wanangu mwendo wa parte after parteJina la kiwaki Hilo😀😂, Eid ili enda fresh karibu Kanda ya ziwa Kaka.
Kuna ka big party day 2, tumalizie malizie hapa kwa Jobless pro max
Kaka USI nijaze upepo😀, kuanzia kesho ni jobless hustling part 10Kuleni maisha wanangu mwendo wa parte after parte
hamna ambae hapambani na maisha we jobless au ukuwe na jobKaka USI nijaze upepo😀, kuanzia kesho ni jobless hustling part 10
Anaijua mibungo huyo? 🤣🤣🤣Na itakuwa kwani mtakula mibungo vizurii mpaka mjifunze kuheshimu watu
Mnakosa ustaarabu mnataka kwenda kipunda mtaendeshwa kipunda.
Hapa kuna magoa wakristo, mabaniani, maparisi , mabuda wala hajawahipo kupigwa mtu kwani wanatuheshimu na tunawaheshimu , tatizo liko kwenu watoto wa Mapadri
More love less egohamna ambae hapambani na maisha we jobless au ukuwe na job
Hata wakati wa Yesu hakukubalika , Hao wanafunzi wake walikuwa matatizo matupu. Hakuna zama zisizo na waasi ,Yuda alimuuza kabisa huyo Yesu mwenyewe tena kwa bei chee tu, alipokamatwa Yesu hao wanafunzi wake ndio wote walimkimbia Mark 14:50Ipo siku vitukuu vya uislam vitatupilia mbali mapokeo ya mababu zao.
Kwa mfano binti kama Zuchu alishatupilia mbali kuanzia mavazi nk.
Ipo siku vitukuu vya uislam vitatupilia mbali mapokeo ya mababu zao.
Kwa mfano binti kama Zuchu alishatupilia mbali kuanzia mavazi nk.
Anataka watu waishi kuzamani katika Dunia ya sasa.MZEE KAKIMBIA UZI