Ramadhani ile haipo

Ramadhani ile haipo

hao waliowaandikia injili , Marko na Mathayo hata kuandika walikuwa hawajui , injili ya mwanzo iliandikwa kwa kigiriki hata walikuwa hawajui , ushangae haya kwanza
Unachekesha sana. Hujasoma. Huwezi elewa historia ya biblia wewe.
 
Na itakuwa kwani mtakula mibungo vizurii mpaka mjifunze kuheshimu watu


Mnakosa ustaarabu mnataka kwenda kipunda mtaendeshwa kipunda.

Hapa kuna magoa wakristo, mabaniani, maparisi , mabuda wala hajawahipo kupigwa mtu kwani wanatuheshimu na tunawaheshimu , tatizo liko kwenu watoto wa Mapadri
Hongera
 
Bila kumpokea Yesu Kristo utaendekea kulalamika. Yesu ni njia, kweli na uzima, mtu haendi kwa Baba ila kwa njia ya Yesu tu.
 
RAMADHANI ILE HAIPO TENA NCHI HII

Kuna watu waliohai hivi sasa walioshuhudia katika nchi hii Mwezi Mtukufu wa Ramadhani hapakuwa kunachezwa mpira wa mashindano viwanjani wala dansi kupigwa katika kumbi.

Haya yalidumu kwa miaka mingi sisi tunazaliwa tumeyakuta na halikadhalika waliotuzaa sisi waliyakuta.

Rejea nyuma.
Hivyo ndivyo ilivyokuwa.

Leo Ramadhani hii haipo na pengine haitorejea hadi kiama.

Labda mtu atajiuliza.
Iliwezekanaje wakati ule?

Mtu anaweza pia kujiuliza ni kitu gani kimetokea kuondoa haya yote?

Naweka hapo chini picha iliyopigwa shambani kwa Sheikh Chaurembo Mtoni mwaka wa 1956 kwenye dua pamoja na majina ya waliohudhuria (mengine hayakupatikana).

Hawa walio kwenye picha hii ndiyo waliotuzaa sisi na waliipokea Ramadhani hii niliyoieleza hapa na imeondoka baadhi yao wakiwa hai.

Katika hawa wamo wazalendo waliopigania uhuru wa Tanganyika:


1 Sheikh Hussein Mbegu
2...
3 Ania S. Chaurembo
4. Mohamed I. Chaurembo
5. Seif I. Kisesa.
6. Mohd R. Ngalawa
7. Sheikh Abdallah I. Chaurembo
8. Said Mahfuudh
9. Ali Issa.
10. Abdallah Sharif
11. Jumaane M. Mtemvu
12. Iddi A. Chaurembo
13. Ahmed Mohamed
14. Al Amudy family
15. T.T. Ahmed Mahmood
16. ...
17. Mahmood Ahmed
18. Juma Mzinga
19...
20...

Waliokaa vitini kulia:

1. Ali Mwinyi Halwa
2. Sharif Abdallah Mbaya mtu
3. Salum A. Chaurembo (amepakatwa)
4. Said O. Chaurembo
5. Said Hariz
6. Mzee Karama
7. Ramadhani Nasibu (Liwali Tabora)
8. J. K. Nyerere
9. Sheikh Ahmed Al Amuddy
10. Sheikh Athmani Mgaga.
11...
12. Sheikh Mzee bin Ally Comorian.
13. Mzee John Rupia
14...
15. Sharif Hussein Badawiy
16. Mzee Mgeni Ukok...
nadhani yalikua yanatokea huko Tanganyika wakati watu wachachee e......
hivi sasa watanganyika wamebaki wachachee sana, waTanzania wamechukua hatamu na utaratibu wao dhidi ya ramadhani......

Tanzania inaendelea na mambo yake kwa uhuru zaidi.....

kama yupo anaefungu Ramadhani basi afunge kibinafsi kwa utaratibu wake bila kumuhusisha mwingine kwa namna yeyote ile 🐒

na hata wa kwaresma nae asiathiri kitu chochote kwa asiehisika na kwaresma yake 🐒
 
Nimeshangaa..siku hizi mabinti wa kiislamu wanaliwa ndani ya mwezi wa ramadhani tena wao ndio wanaomba waliwe.
 
Bila kumpokea Yesu Kristo utaendekea kulalamika. Yesu ni njia, kweli na uzima, mtu haendi kwa Baba ila kwa njia ya Yesu tu.
Yesu yupi yule alovalishwa Pampers akatawazishwa mavi?
 
Wakristo ni wakatoliki. Hizo takataka zingine sijui evangelicals sijui upupu gani ndio nini? Ni nani labda? Wako wapi?
Wanakusoma wenyewe , Kama maneno yako ni kweli tutaona watakaa kimya
 
Mzeee wewe Ni mdini sanaaunataka tuache kucheza kiss ninyi mmefunga mbna Waislamu wengi Ni matapeli
 
Nimeshangaa..siku hizi mabinti wa kiislamu wanaliwa ndani ya mwezi wa ramadhani tena wao ndio wanaomba waliwe.
mimi huwa nafurahi sana sikuhizi uislamu umebak kama fasheni . Yaani wakimaliza kufturu ni kufanya ngono tu.😂😂😂
 
Mzee wangu huko Saudia ulikotokea uislam juzi tu wamecheza Mechi ya Mpira wa miguu akina Cristiano Ronaldo wamempiga mtu goli 7 tena wakati wa mfungo huu huu.
Sasa unataka wewe uliyeletewa dini huku kwenye nchi isiyokuwa na serikali ya kidini watu wasicheze Mpira hivi ni haki hiyo?
Angalia matokeo Mechi za Jana za Saudia Pro League
Duuh..
Huyo mtoa mada anazeeka vibaya.
Anataka Tanzania iwe na udini kuliko wenye dini yao?!!!
 
N
Nimeshangaa..siku hizi mabinti wa kiislamu wanaliwa ndani ya mwezi wa ramadhani tena wao ndio wanaomba waliwe.
Nshakula sana, eti aliniambia subiri akishafturu saa moja usiku nami nikamfturu.
 
Yesu yupi yule alovalishwa Pampers akatawazishwa mavi?
Hapana, yule aloliwa na mbwa kule Medina. Alafu eti wanadai Yesu pia ni mtume wao. Alafu wanamdhihaki tena, viazi mbatata.
 
Zama zinabadilika,
Lakini ni dalili pia za kiama, so lazima mambo yawe hivi.
 
Back
Top Bottom