Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona watu sahv waoenda kuhiji huko show off nyingi tuNaenda Saudia utaikuta nchi hii sio ya kidini
🤔🤣🤣🤣🤣🤣Oya nyie magaidi, Ramadhani ni lini mana kuna demu wa kigaidi nataka kumla so ameniambia mpaka Ramadan ipite
Kwa mawazo ya aina hii, ya ramadhani ileee, sishangai Zanzibar kuchapa wenzao bakora kisa ramadhani ambayo wachapwaji haiwahusu kwa nman yoyote ile. Tena ukizingati yanayofanya wachapwe, wanayafanyia ndani kwaoRAMADHANI ILE HAIPO TENA NCHI HII
Kuna watu waliohai hivi sasa walioshuhudia katika nchi hii Mwezi Mtukufu wa Ramadhani hapakuwa kunachezwa mpira wa mashindano viwanjani wala dansi kupigwa katika kumbi.
Haya yalidumu kwa miaka mingi sisi tunazaliwa tumeyakuta na halikadhalika waliotuzaa sisi waliyakuta.
Rejea nyuma.
Hivyo ndivyo ilivyokuwa.
Leo Ramadhani hii haipo na pengine haitorejea hadi kiama.
Labda mtu atajiuliza.
Iliwezekanaje wakati ule?
Mtu anaweza pia kujiuliza ni kitu gani kimetokea kuondoa haya yote?
Naweka hapo chini picha iliyopigwa shambani kwa Sheikh Chaurembo Mtoni mwaka wa 1956 kwenye dua pamoja na majina ya waliohudhuria (mengine hayakupatikana).
Hawa walio kwenye picha hii ndiyo waliotuzaa sisi na waliipokea Ramadhani hii niliyoieleza hapa na imeondoka baadhi yao wakiwa hai.
Katika hawa wamo wazalendo waliopigania uhuru wa Tanganyika:
1 Sheikh Hussein Mbegu
2...
3 Ania S. Chaurembo
4. Mohamed I. Chaurembo
5. Seif I. Kisesa.
6. Mohd R. Ngalawa
7. Sheikh Abdallah I. Chaurembo
8. Said Mahfuudh
9. Ali Issa.
10. Abdallah Sharif
11. Jumaane M. Mtemvu
12. Iddi A. Chaurembo
13. Ahmed Mohamed
14. Al Amudy family
15. T.T. Ahmed Mahmood
16. ...
17. Mahmood Ahmed
18. Juma Mzinga
19...
20...
Waliokaa vitini kulia:
1. Ali Mwinyi Halwa
2. Sharif Abdallah Mbaya mtu
3. Salum A. Chaurembo (amepakatwa)
4. Said O. Chaurembo
5. Said Hariz
6. Mzee Karama
7. Ramadhani Nasibu (Liwali Tabora)
8. J. K. Nyerere
9. Sheikh Ahmed Al Amuddy
10. Sheikh Athmani Mgaga.
11...
12. Sheikh Mzee bin Ally Comorian.
13. Mzee John Rupia
14...
15. Sharif Hussein Badawiy
16. Mzee Mgeni Ukok...
Labda hajamaliza uzi wake......atarudi na usishange Jumba bovu na lawama wakatupiwa wagalatia kuwa wamechangia ramadhan zao za sasa kutokuwa kama za zaman maana kwa lawama tu kwa wagalatia ahhh professor huyu!!MZEE KAKIMBIA UZI
Oya nyie magaidi, Ramadhani ni lini mana kuna demu wa kigaidi nataka kumla so ameniambia mpaka Ramadan ipite
Kwa mawazo ya aina hii, ya ramadhani ileee, sishangai Zanzibar kuchapa wenzao bakora kisa ramadhani ambayo wachapwaji haiwahusu kwa nman yoyote ile. Tena ukizingati yanayofanya wachapwe, wanayafanyia ndani kwao
Hongera..!!kwani mnakuja kufanya kitu gani huku , si mkae mle huko ugalitiani , hujatumwa uje huku otherwise watoto wa Mapadri msio malezi mtakula bakora tu
Watu wameanza kushtukia game hizi dini za kuletewa na wazungu na waarabu ni upuuzi mtupu
jaribu kula kula mchana huku kisiwani , yaani bara lote hujapata mahali pa kula mchana mpaka uje uwakere watu huku , kijana wewe ??Hongera..!!
Hongera..!! Kwenu kumuua mwenzio kisa kueteta imani ni thawabu, wakati kwetu kufa wewe kisa kutetea imani ni neema..!! Mambo mawili tofauti hayojaribu kula kula mchana huku kisiwani , yaani bara lote hujapata mahali pa kula mchana mpaka uje uwakere watu huku , kijana wewe ??
We Mzee uokoke uachane na imani hiyo
Hongera..!! Kwenu kumuua mwenzio kisa kueteta imani ni thawabu, wakati kwetu kufa wewe kisa kutetea imani ni neema..!! Mambo mawili tofauti hayo
Vyovyote iwavyo, ndivyo mlivyo.Kwani kauliwa nani kwa kula mchana ?? akili gani uliyonayo ??
Njoo na Ile ID yako ya nyokofoxHivi leo ndio unamkumbuka mungu wako wa kiafrika marehem,u wanyonyi ?? Ukristo umeuwacha ??
Njoo na Ile ID yako ya nyokofox
Vyovyote iwavyo, ndivyo mlivyo.