daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,127
- 3,062
Wale siyo mashoga kwamba wanapelekewa moto sehemu ya haja kubwa, Ulaya watu waliokatika mahusiano ya jinsia moja wote wanaitwa mashoga.Kuna mchezaji adelayde Austria ni shoga
Na kuna jamaa kigamboni anacheza beki kazi kazi balaa ila ni shoga
Hivi huwa nikweli?usimchafue jamaniIle kitu kaacha?
Hawezi acha hiyo ni karama yake,kuacha ni sawa na kuwaambia wanayanga waache ujingaIle kitu kaacha?
Machoko wengi ni wababe sanaUsikalili kila shoga ni laini laini
Hiyo ni karama yake,kuacha ni sawa na kuwaambia wanayanga waache ujinga
Kuna mpaka wacheza mieleka ni mapunga wewe unataka kusema nini?wanamsingizia tu,dogo Wala sio choko,
Angekuwa analiwa asingeweza kucheza mpira
Basi sawa sio fan yangu hio siwezi bishaUsikalili kila shoga ni laini laini
Umestaafu llni? Mafao yako umeshachukua?Basi sawa sio fan yangu hio siwezi bisha
Have respect sija ku quote popote sija kutukanana let's talk football behave like a manUmestaafu llni? Mafao yako umeshachukua?
Wewe ni mbabe au tepetepe?Machoko wengi ni wababe sana
Kuna vijana wana malezi mabovu sana inaangaza hata katika familia zao kuna makuzi ya ovyo sanaHave respect sija ku quote popote sija kutukanana let's talk football behave like a man
Ile kitu kaacha?
Wale siyo mashoga kwamba wanapelekewa moto sehemu ya haja kubwa, Ulaya watu waliokatika mahusiano ya jinsia moja wote wanaitwa mashoga.
Katika uhusiano huo mmoja ni mke mwingine ni mmeUmeelewa ulicho type mzee??
Aache sasa ule mchezo wa kisodomaAliyekuwa kipa wa Young African SC(Yanga) Ramadhani Kabwili amesainiwa katika club ya RayonSport(Rwanda) yenye maskani yake Katika jiji la Kigali.
Kabwili amepewa kandarasi ya mwaka mmoja ambayo ataanza kuitumikia katika msimu huu mpya unaoanza.
Kila la kheri kwake kijana
View attachment 2327237
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wamebaki watano pale jangwanj
Aache kale kamchezo sasa