Ramadhani Kabwili apata timu Rwanda

Ramadhani Kabwili apata timu Rwanda

Kuna mchezaji adelayde Austria ni shoga

Na kuna jamaa kigamboni anacheza beki kazi kazi balaa ila ni shoga
Wale siyo mashoga kwamba wanapelekewa moto sehemu ya haja kubwa, Ulaya watu waliokatika mahusiano ya jinsia moja wote wanaitwa mashoga.
 
Utopolo branch inabidi wampime marinda kwanza kama yapo.
 
"Kabwili ni mwananchi na daima atadumu kuwa ni mwananchi"

~Jemedari Said bin Kazumari
 
Aliyekuwa kipa wa Young African SC(Yanga) Ramadhani Kabwili amesainiwa katika club ya RayonSport(Rwanda) yenye maskani yake Katika jiji la Kigali.

Kabwili amepewa kandarasi ya mwaka mmoja ambayo ataanza kuitumikia katika msimu huu mpya unaoanza.

Kila la kheri kwake kijana

View attachment 2327237
Aache sasa ule mchezo wa kisodoma

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Afadhari nayeye kapata team, ili kipaji chake kiendelee.
JAH awe nae zaidi. Akapambane sasa. Na akafiche mapungufu na madhaifu yake.
 
Back
Top Bottom