Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kayoko alionesha kuwa ni offside na mkono wake akamnyooshea Mayele kwamba ameingilia mchezo, yaani linesman amekubal ni goli ila refa kajipa mamlaka ya kung'amua offside.Kwa angle ambayo alikuwepo kayoko ilionekana Mayele kamalolizia kwa kisigino,
Cheki highlights azam huko youtube
Hakujipa hata muda wa kumuangalia mwamuzi msaidizi! Ni mzembe sana yule mwamuzi!Kwa angle ambayo alikuwepo kayoko ilionekana Mayele kamalolizia kwa kisigino,
Cheki highlights azam huko youtube
Mbaya zaidi hata kayoko alishakubali kuwa ni goli na alielekeza mpira uende kati ya dimba, ghafla alibadilishwa mawazo na kipa wa mbeya city. Ama kweli rushwa na heshima havikai mtaa mmoja,Kayoko alionesha kuwa ni offside na mkono wake akamnyooshea Mayele kwamba ameingilia mchezo, yaani linesman amekubal ni goli ila refa kajipa mamlaka ya kung'amua offside.
Ni kijana mdogo mwenye kesho nyingi sana, vitendo kama hivi vinazichafua kesho zake. Kazi ya kuona offsides kiwanjani sio kazi yake, Hata hivyo Kuna mwendelezo fulani wa marefa wanaochezesha mechi za Yanga kufanya maamuzi kwa ushauri wa wachezaji wa timu pinzani yanayoinufaisha timu pinzani. Hii haiwezi kuwa burebure kabisa.Ile kwenye draft tunaita kufananisha ngoma yeye alidhani ile ipo sawa na goli la Simba mbeya kumbe ni vitu viwili tofauti..hakuna faulo pale wale lile ni goli maana kibendera alikua anatembea na movie na alikua kwenye mstari mmoja na mayele na beki wa city akakubali goli ila mzee kayoko muda wote anasema kaona kwa macho yake sijui pale aliona nini?
Katoa maamuzi kama penati ya Ureno kwa Ghana refa hajajishughulisha kabisa kuwasiliana na kibendera wake ambae alikua anaenda kati mpira uanzishwe kule WC refa hakutaka ksbisa kwenda kwenye VAR kwa ile Tuta nyepesi mtu kapambana anakuja kunyimwa goli kwa uzembe wa maamuzi..Ni kijana mdogo mwenye kesho nyingi sana, vitendo kama hivi vinazichafua kesho zake. Kazi ya kuona offsides kiwanjani sio kazi yake, Hata hivyo Kuna mwendelezo fulani wa marefa wanaochezesha mechi za Yanga kufanya maamuzi kwa ushauri wa wachezaji wa timu pinzani yanayoinufaisha timu pinzani. Hii haiwezi kuwa burebure kabisa.
Yule refa ni chizi, pia kuna goli lilifungwa linaonekana kama offside ila dk zote 90 hakuangaika na VAR.Katoa maamuzi kama penati ya Ureno kwa Ghana refa hajajishughulisha kabisa kuwasiliana na kibendera wake ambae slikua anaenda kati mpira uanzishwe kule WC refa hakutaka ksbisa kwenda kwenye VAR kwa ile Tuta nyepesi mtu kapambana anakuja kunyimwa goli kwa uzembe wa maamuzi..
Hizi ni baadhi ya dalili kuwa "mpunga" kama ulikuwepo hakuwapa wenzake, kafukia mwenyewe. Hivyo alitaka kuyamaliza yeye mwenyewe.Yule refa ni chizi, pia kuna goli lilifungwa linainekana kama offside ila dk zote 90 hakuangaika na VAR.
Lilikua ni offside nimeona kampuni moja ikilaumu hizo Camera 3000 zinafanya nini viwanjani kama haziwezi kutambua makosa..Yule refa ni chizi, pia kuna goli lilifungwa linainekana kama offside ila dk zote 90 hakuangaika na VAR.
Sawa, Ile penati inawezekana ni Hersi ilitoa mpunga Yanga ishinde, je hii ya Kayoko ni nani amegharamia Yanga ishindwe?Unauliza halafu unajijibu. Ndio sio bure bure, ni kama ile penati mliyopata dhidi ya Geita gold haikuwa bure bure.
Hujiulizi kwa nini hakukataa goli la kwanza la Mayele? Yaani hapo mlimpanga akatae goli mojawapo ili kuhalalisha kubebwa kwenu kwenye mechi zilizopita.Sawa, Ile penati inawezekana ni Hersi ilitoa mpunga Yanga ishinde, je hii ya Kayoko ni nani amegharamia Yanga ishindwe?
Alinichefua kweli yule refa!Yule refa ni chizi, pia kuna goli lilifungwa linainekana kama offside ila dk zote 90 hakuangaika na VAR.
Hata mayele hakua offsideKwa angle ambayo alikuwepo Kayoko ilionekana Mayele kamalilizia kwa kisigino,
Cheki highlights azam huko youtube
Goli la kwanza la mayele lilikua na ubaya ganiHujiulizi kwa nini hakukataa goli la kwanza la Mayele? Yaani hapo mlimpanga akatae goli mojawapo ili kuhalalisha kubebwa kwenu kwenye mechi zilizopita.
Nimejibu kutokana na mleta mada anavyohoji.Goli la kwanza la mayele lilikua na ubaya gani