Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Kwa hiyo kazi yako ni kuropoka ropoka tu ili uchangamshe uziNimejibu kutokana na mleta mada anavyohoji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo kazi yako ni kuropoka ropoka tu ili uchangamshe uziNimejibu kutokana na mleta mada anavyohoji.
Kilaza tulia, niliyemjibu ameelewa.Kwa hiyo kazi yako ni kuropoka ropoka tu ili uchangamshe uzi
Goli la mayele la kwanza linaubaya ganiKilaza tulia, niliyemjibu ameelewa.
Fuatilia mazungumzo kwa nini nilijibu vile.Goli la mayele la kwanza linaubaya gani
Bora hata ishu ya penati, refa wa kati anaweza kuwa na mamlaka nayo lakini sio ishu ya offside. Lines man ndio wanaoweza kutafsiri offside au sio offsideKatoa maamuzi kama penati ya Ureno kwa Ghana refa hajajishughulisha kabisa kuwasiliana na kibendera wake ambae slikua anaenda kati mpira uanzishwe kule WC refa hakutaka ksbisa kwenda kwenye VAR kwa ile Tuta nyepesi mtu kapambana anakuja kunyimwa goli kwa uzembe wa maamuzi..
Hawa vijana hawana malengo makubwa sawa na akina Ngasa na Ajiibu kugoma kwenda kucheza soka nje ya nchi. Kayoko kayoko kayoko kila mtu anakuita kwa ubaya, na umri huo hainogi.Bora hata ishu ya penati, refa wa kati anaweza kuwa na mamlaka nayo lakini sio ishu ya offside. Lines man ndio wanaoweza kutafsiri offside au sio offside
Canera zinatambua, ila marefarii wengine wanajifanya hamnazo tu!Lilikua ni offside nimeona kampuni moja ikilaumu hizo Camera 3000 zinafanya nini viwanjani kama haziwezi kutambua makosa..