Ramadhani Kayoko amelikataa goli la Kisinda kwa bahati mbaya TU?

Bora hata ishu ya penati, refa wa kati anaweza kuwa na mamlaka nayo lakini sio ishu ya offside. Lines man ndio wanaoweza kutafsiri offside au sio offside
 
Bora hata ishu ya penati, refa wa kati anaweza kuwa na mamlaka nayo lakini sio ishu ya offside. Lines man ndio wanaoweza kutafsiri offside au sio offside
Hawa vijana hawana malengo makubwa sawa na akina Ngasa na Ajiibu kugoma kwenda kucheza soka nje ya nchi. Kayoko kayoko kayoko kila mtu anakuita kwa ubaya, na umri huo hainogi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…