Kapombe ana 49 mkuuAnatokea mchambuzi mmoja anasema kapombe kazeeka ahaaa
Uongo Kapombe ana 55 ya kuzaliwa....!Kapombe ana 49 mkuu
Na hiyo ni ya kwenye passport. Halisi ni kama 48Hata madaraka sulemani alikuwa striker akiwa na miaka 40 plus. Mwaka 2001 anaifunga Yanga fainali ya pombe la tusker alikuwa na miaka 41
Kazuyoshi Miura ana 51 bado anakichafua.Huyu mchezaji alikuwa classmate wa mzee fulani mtaani,huyo mzee sasa ni mzee kweli hakosi miaka 70 shule ya msingi, Jamaa alikuwa na matege fulani hivi yanastaajabisha.
Kama ungeambiwa ni namba sita bora kuwahi kutokea hapa nchini huwezi kuamini.
Alimudu hiyo namba kwa kiwango cha juu sana akiwa Simba Sports Club na timu fulani ya uarabuni.
Kinachonishangaza ni kumudu kucheza kwa umri mrefu,miaka zaidi ya 50
Ndio hivyo,mwamba alikuwa mtu mzima sana wakati anacheza,alikuwa na mvi kabisaLenny michuano yake ya mwisho ni wakati Simba inatinga fainali ya CAF mwaka 93, mwaka 93 mpaka Sasa ni miaka 30. Inawezaje kusema Lenny alicheza akiwa na miaka 50? Pia nafasi alivyokuwa anachezea ni kiungo was Kati, kiungo maestro anazunguka uwanja mzima, Kama angekuwa na miaka 50 umri wake ungeonekana uwanjani.
Sio kweli Lenny alitokea Simba bNdio hivyo,mwamba alikuwa mtu mzima sana wakati anacheza,alikuwa na mvi kabisa
Kipindi hicho hawakuwa wakipinguza umriNa hiyo ni ya kwenye passport. Halisi ni kama 48
Lenye nadhani kafariki 93/94,na hakuwa mzeeNdio hivyo,mwamba alikuwa mtu mzima sana wakati anacheza,alikuwa na mvi kabisa
Bila kumsahau Clement Kahabuka alicheza CAFCL akiwa na 40+Hata madaraka sulemani alikuwa striker akiwa na miaka 40 plus. Mwaka 2001 anaifunga Yanga fainali ya pombe la tusker alikuwa na miaka 41
Hili suala ni la kitambo sanaKipindi hicho hawakuwa wakipinguza umri
Halikuwepo tz,labda akina taribo west,huku mambo ya mpira ulaya hatukua nayo,tumeyajua 2008 kwamba ulaya huangalia umriHili suala ni la kitambo sana
Basi tumwongeze na Lubigisa Madata Lubigisa bila kumsahau Jonh Thomas MasamakiBila kumsahau Clement Kahabuka alicheza CAFCL akiwa na 40+