MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
2008 hapo juzi juzi? Wewe bado mdogo sana kwenye mambo ya michezo. Acha kubisha hovyo.Halikuwepo tz,labda akina taribo west,huku mambo ya mpira ulaya hatukua nayo,tumeyajua 2008 kwamba ulaya huangalia umri
Ungezingatia kila neno kwenye post yangu,niliandika 'ulaya kujali umri' na si kufuatilia mpira wa ulaya,euro 1996 niliitazama live,euro 1992 niliifuatilia kupitia magazeti ya mzalendo na motomoto2008 hapo juzi juzi? Wewe bado mdogo sana kwenye mambo ya michezo. Acha kubisha hovyo.
Mbona matege kama ya Varane tu wa Man uMwamba huyo hapo kulia
Kuna sehemu Nimeongelea kufuatilia mpira wa Ulaya?Ungezingatia kila neno kwenye post yangu,niliandika 'ulaya kujali umri' na si kufuatilia mpira wa ulaya,euro 1996 niliitazama live,euro 1992 niliifuatilia kupitia magazeti ya mzalendo na motomoto
Miguu siyo ya mpira hii
Walicheza katika age ipi?Basi tumwongeze na Lubigisa Madata Lubigisa bila kumsahau Jonh Thomas Masamaki
Naona umeanza kupata kizunguzungu,ushasahau ukianzia wapi kuzungukaKuna sehemu Nimeongelea kufuatilia mpira wa Ulaya?
Hakuna unachojua.Naona umeanza kupata kizunguzungu,ushasahau ukianzia wapi kuzunguka
😀😀Hakuna unachojua.