TANZIA Ramadhani Wasso afariki dunia

TANZIA Ramadhani Wasso afariki dunia

Na yule Christopher Alex hakuwa beki?
Christopher Alex Massawe 🙌

Simba ilikuwa na watu sana, tena wengi walikuwa Wazawa

Kuhusu swali lako, Sina kumbukumbu sahihi Mkuu
 
R.I.E.P..naona umemfuata rafiki yako Patrick Mutesa Mafisango ...Mungu awapumzishe kwa Amani.
I will miss you
 
Yule beki kisiki wakushoto Ramadan Wasso amefariki dunia Leo nchini Burundi akiwa na miaka 39.....
Alikuwa sehemu ya kikosi Cha Simba sc kilichotinga makundi cafcl 2003.
---

Beki wa zamani aliyekipiga Simba SC na Yanga SC, Ramadhan Waso, raia wa Burundi amefariki dunia leo Jumatatu Machi 25, nchini kwao.

Beki huyo aliyejiunga Simba mwaka 2000 na baadae kujiunga na Yanga, alikuwa sehemu ya kikosi cha mnyama kilichoitoa Zamalek mwaka 2003 kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Simba SC yaomboleza kifo cha mkongwe huyo.
Pumzika kwa amani champion
 
Yule beki kisiki wakushoto Ramadan Wasso amefariki dunia Leo nchini Burundi akiwa na miaka 39.....
Alikuwa sehemu ya kikosi Cha Simba sc kilichotinga makundi cafcl 2003.
---

Beki wa zamani aliyekipiga Simba SC na Yanga SC, Ramadhan Waso, raia wa Burundi amefariki dunia leo Jumatatu Machi 25, nchini kwao.

Beki huyo aliyejiunga Simba mwaka 2000 na baadae kujiunga na Yanga, alikuwa sehemu ya kikosi cha mnyama kilichoitoa Zamalek mwaka 2003 kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Simba SC yaomboleza kifo cha mkongwe huyo.
Kafa na miaka 39,mwaka 2000 alikuwa simba,imepita miaka 24,je slisinya simba akiwaba miaka 15???
 
Yule beki kisiki wakushoto Ramadan Wasso amefariki dunia Leo nchini Burundi akiwa na miaka 39.....
Alikuwa sehemu ya kikosi Cha Simba sc kilichotinga makundi cafcl 2003.
---

Beki wa zamani aliyekipiga Simba SC na Yanga SC, Ramadhan Waso, raia wa Burundi amefariki dunia leo Jumatatu Machi 25, nchini kwao.

Beki huyo aliyejiunga Simba mwaka 2000 na baadae kujiunga na Yanga, alikuwa sehemu ya kikosi cha mnyama kilichoitoa Zamalek mwaka 2003 kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Simba SC yaomboleza kifo cha mkongwe huyo.
Alijiunga na Simba akiwa na miaka 15 ????

Maana amefariki wakati huu ana 39.
 
Christopher Alex Massawe 🙌

Simba ilikuwa na watu sana, tena wengi walikuwa Wazawa

Kuhusu swali lako, Sina kumbukumbu sahihi Mkuu
Huyu ndiye aliyepiga penati ya mwisho iliyowang'oa Zamalek katika michuano ya klabu Bingwa Afrika, huku wakiwa wanashikilia mataji mawili, la Klabu Bingwa Afrika kama mtetezi na la Ligi ya Misri ambalo walikuwa wametoka kulitwaa siku chache na sherehe ya kulitwaa huko ilipangwa kufanyika baada ya mechi ya Simba, lakini ikavurugika na kukatokea vurugu kubwa mitaani na klabuni kwao
 
Yule beki kisiki wakushoto Ramadan Wasso amefariki dunia Leo nchini Burundi akiwa na miaka 39.....
Alikuwa sehemu ya kikosi Cha Simba sc kilichotinga makundi cafcl 2003.
---

Beki wa zamani aliyekipiga Simba SC na Yanga SC, Ramadhan Waso, raia wa Burundi amefariki dunia leo Jumatatu Machi 25, nchini kwao.

Beki huyo aliyejiunga Simba mwaka 2000 na baadae kujiunga na Yanga, alikuwa sehemu ya kikosi cha mnyama kilichoitoa Zamalek mwaka 2003 kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Simba SC yaomboleza kifo cha mkongwe huyo.
Rip Wasso
 
Huyu ndiye aliyepiga penati ya mwisho iliyowang'oa Zamalek katika michuano ya klabu Bingwa Afrika, huku wakiwa wanashikilia mataji mawili, la Klabu Bingwa Afrika kama mtetezi na la Ligi ya Misri ambalo walikuwa wametoka kulitwaa siku chache na sherehe ya kulitwaa huko ilipangwa kufanyika baada ya mechi ya Simba, lakini ikavurugika na kukatokea vurugu kubwa mitaani na klabuni kwao
Ilikuwa Burudani sana Kwa kweli...

Wakati huo unakuta mtangazaji wa redio anatangaza Kwa umakini na mbwembwe utasema unaona live mechi ikichezwa kumbe unasikiliza redioni.

Anapiga Juma K. Juma

Anaupokea Ramadhani Wasso

Wasso anapiga pasi Kwa Amri Saidi

Amri Saidi anapika mbele akimtafuta Sheikhan Rashidi

Sheikhan Rashidi anapika kwake Steven Mapunda Garincha

Steven Mapunda anapiga chenga beki mmoja pale, anampiga chenga beki wa pili pale anabaki yeye na Kipa

Anafunga pale gooooooooool🙌
 
Back
Top Bottom