Bro,
Nje ya mada, naweza kufahamu wewe halisi ulivyo? Yaani hua nakusomaga mpaka Facebook uko kwa username ya jina hili hili, unatema madini sana.
Naweza kukukadiria kua ukiacha Ufundi-kipaji pia una Ufundi-elimu. Na hua unajibu very technical na in details kiasi cha kwamba unaelewa unachojibu.
Wewe ni aina ya watu ambao ki uhalisia walipaswa kua Walimu sababu hufundisha na kuelezea zile key points ambazo unajua mtu akizielewa hizo basi anakua ameelewa swala husika.
Wewe unaelezea kitu na technicalities zake, kwamba hata anaekusoma au kufundishwa na wewe anakua anaelewa haraka zaidi. Kuna vitu viko hivyo vilivyo sababu ya vitu vingine, vyote hivi wewe huelezea.
Maua yako chukua Mkuu, uko vizur sana kwenye kuelewa, na kuelewesha pia.