Hechy Essy
JF-Expert Member
- Mar 30, 2023
- 640
- 2,413
- Thread starter
- #641
Watu wengi hupendelea kutumia nguzo za pembe (mraba/mstatili) kuliko nguzo za duara kwa sababu zifuatazo
1. Urahisi wa kutengeneza umbo la nguzo (hapa unatumia tu mbao, vipande vya marine board n.k). Upande wa nguzo za duara, ni ngumu kutengeneza umbo lake hivyo utalazimika ukakodi maumbo ambapo napo inaongeza gharama za ziada
2. Katika nguzo za pembe, kiasi cha chini cha nondo kinachohitajika ni nondo nne nne lakini kwa upande wa nguzo za duara, kiasi cha chini cha nondo kinachohitajika ni nondo sita sita
Ramani, Makadirio au Ushauri tuwasiliane
1. Urahisi wa kutengeneza umbo la nguzo (hapa unatumia tu mbao, vipande vya marine board n.k). Upande wa nguzo za duara, ni ngumu kutengeneza umbo lake hivyo utalazimika ukakodi maumbo ambapo napo inaongeza gharama za ziada
2. Katika nguzo za pembe, kiasi cha chini cha nondo kinachohitajika ni nondo nne nne lakini kwa upande wa nguzo za duara, kiasi cha chini cha nondo kinachohitajika ni nondo sita sita
Ramani, Makadirio au Ushauri tuwasiliane