Hechy Essy
JF-Expert Member
- Mar 30, 2023
- 640
- 2,413
- Thread starter
- #661
Kinachonishangaza hasa ni kwamba watu wenye nyuzi zinazofanana na zangu (kuuza ramani) wote post zao zimeachwa jukwaa la ujenzi isipokuwa uzi huu tu, na ukiangalia mimi nimebase sana katika kutoa elimu kuliko hata kutangaza hizo ramaniKatika wakati ambao nimeona Moderator ni watu wa ajabu ni hiki kitendo cha kuhamisha huu uzi Jukwaa la Matangazo. Maxence Melo angalia upya kama huyo Mod anakufaa, otherwise mfunge Jukwaa la Ujenzi tujue moja. Haihitaji D mbili kujua huu uzi unatakiwa kuwa wapi.
Hatuhitaji benefit of doubts kujua sababu, labda tuamini mnaona tunafaidi sana mjadala. Kuweni wastaarabu.
Mod aliyefanya hiki kitendo amenikumbusha siku mlipohamisha uzi wa NBAA jukwaa la elimu na kupeleka jukwaa la michezo.
Kama wangefanya hivi kwa nyuzi zote, nisingeshangaa. Ni watu wengi walikuwa wakifatilia hizi dondoo, wale ambao hawakusubscribe watakuwa wanapata shida kuutafuta kwenye jukwaa la ujenzi