Hechy Essy
JF-Expert Member
- Mar 30, 2023
- 640
- 2,413
- Thread starter
- #701
Bati anazotumia zina urefu gani?fundi kasem 40cm je haitaathiri?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bati anazotumia zina urefu gani?fundi kasem 40cm je haitaathiri?
vipimo maalum kun ndefu mita 7Bati anazotumia zina urefu gani?
Unasemea bati za versatile? Mimi nikajua ni zile bati za vipande vya futi moja mojavipimo maalum kun ndefu mita 7
Hii nyumba mbona fupi, anaenda kuishi kenyonyo?Hivi zile bati za steps (muundo kigae) mbao zake zinapigwa karib karibu sana hua wanaweka centimetres (cm) ngap kuachan baina ya mbao na mbao View attachment 3068356
Huyo anamaanisha zile versatile, kwa space hiyo atakula za uso hiyo 30cm iwe kwenye end span, maana pia huenda kapiga roof ndefu kama ya kisukuma.Center to center ni sentimita 30 sawa na futi 1
Hiyo mbona nzuri na tena mm naona hasara kabisafundi kasem 40cm je haitaathiri?
Huyo anamaanisha versatile, hizo za vipande(lifestile - shingles etc) ni za wachache mnoUnasemea bati za versatile? Mimi nikajua ni zile bati za vipande vya futi moja moja
versatile ndiooUnasemea bati za versatile? Mimi nikajua ni zile bati za vipande vya futi moja moja
mkuu lifestyle yawachache haswaa naoma ata matajiri wanapita na versatile 🤣 kumkuta alieweka lifestyle wanaesabikaHuyo anamaanisha versatile, hizo za vipande(lifestile - shingles etc) ni za wachache mno
🤣 achan naufup wa nyumba nimeipiga tu maali ila at mimi nilimlaumu mwenye nyumba kwa nini kalaza msingi chini sana badala yakuutoa nje ata kozi 3 au nneHii nyumba mbona fupi, anaenda kuishi kenyonyo?
Tofali 25 mpaka 30Wakuu naomba ushauri wa kitalaamu kuhusu tofali za msingi wa ghorofa. Upper floor ni 50sqm, ambayo itakuwa na chumba masta na common bed room. Ardhi ni mfinyazi.
Je, tofali za msingi ziwe na ratio ipi standard(mfuko mmoja saruji 42.5N utoe tofali ngapi)?
Yes, gharama yake kubwa sana si mchezo😂mkuu lifestyle yawachache haswaa naoma ata matajiri wanapita na versatile 🤣 kumkuta alieweka lifestyle wanaesabika
Kutokujua tu na pia fundi huwa wanatakiwa kujiongeza, fundi mzuri asingejenga hivyo🤣 achan naufup wa nyumba nimeipiga tu maali ila at mimi nilimlaumu mwenye nyumba kwa nini kalaza msingi chini sana badala yakuutoa nje ata kozi 3 au nne
25, muhimu ziwe compressed na mixed vizuriWakuu naomba ushauri wa kitalaamu kuhusu tofali za msingi wa ghorofa. Upper floor ni 50sqm, ambayo itakuwa na chumba masta na common bed room. Ardhi ni mfinyazi.
Je, tofali za msingi ziwe na ratio ipi standard(mfuko mmoja saruji 42.5N utoe tofali ngapi)?
Mkuu kuna slab siku hizi zipo namna hiyo hapo chini naomba nijuze unayofahamu kuhusu slab hizi maana wanadai zinapunguza sana gharama but nina mashaka kuhusu ubora in the long run.Kabla ya kupigilia mbao za dari, angalia kwanza na uhalisia wa vipimo upoje ili ujue ni namna ipi ukielekeza board zako utamaliza ukiwa na wastage (vipande ambavyo haviwezi kutumika tena) chache
Wakati mwingine unaweza ukakutana na chumba ambacho ukipangilia vizuri board zako hubakiwi na kipande chochote, lakini ukigeuza ueleko unajikuta board hizo hizo hazitoshi kumaliza hicho chumba kutokana na wastage
Ramani, Makadirio au Ushauri tuwasiliane