HOMEX DESIGN
Member
- Apr 1, 2020
- 7
- 6
Vyumba vitatu, kimoja master, kimoja self, kingine single, sebule, dining, jiko, stoo na choo cha public. Kwa mahitaji ya ramani, ujenzi, ushauri n.k tuwasiliane 0719086787... Whatsapp & calls
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona madirisha mengi bila umuhimu wowote? Chumba kina madirisha manne ya nini?Vyumba vitatu, kimoja master, kimoja self na kingine single, sebule, dining, jiko, stoo na choo cha public.
Kwa mahitaji ya ramani, ujenzi, ushauri n.k tuwasiliane kwa namba 0719086787 Whatsapp and calls
Location: Tegeta A, Goba, Dar es salaam View attachment 3040897
Yana umuhimu, kwa kuwa madirisha yake ni madogo (membamba) ndo maana yamekuwa mengi ili kupitisha mwanga na hewa ya kutosha. Na hiyo ndo design yakeMbona madirisha mengi bila umuhimu wowote? Chumba kina madirisha manne ya nini?