Ramani ya nyumba ya jirani yangu nimeipenda

Ramani ya nyumba ya jirani yangu nimeipenda

Nimekuelewa kiongozi. Sema me nauliza tu kama nikiihamshia kwangu kunaweza kuleta shida. Maana nyumba bado haijaisha hivyo ni rahisi kuingia na kuicopy kama ilivyo kuanzia vipimo vyote.
Kiujumla kila mmoja anapenda awe unique, inaweza isilete shida lakini anaweza asifurahie kitendo cha kucopy ramani yake bila idhini yake...na kumbuka huyo ndio jirani yako (linapotokea tatizo la ghafla, majirani ndio watu wa kwanza kukusaidia). Vitu vidogo kama hivyo vinaweza vikaleta uhasama wa kudumu
 
Kiujumla kila mmoja anapenda awe unique, inaweza isilete shida lakini anaweza asifurahie kitendo cha kucopy ramani yake bila idhini yake...na kumbuka huyo ndio jirani yako (linapotokea tatizo la ghafla, majirani ndio watu wa kwanza kukusaidia). Vitu vidogo kama hivyo vinaweza vikaleta uhasaba wa kudumu
Nimependa neno "Uhasama" kama ule wa CCM na CUF Zanzibar ule NDIO ulikua Uhasama...
 
Punguza kuwageuza watoto watu usiowafahamu.

Neno FACT lina maana kubwa sana kwenye kujenga hoja. Huna fact.

Unategemea tufanye immaginations za hallusinations zako?
hallusinations =hallucinations.
Taratibu usiwaamshe watoto.
 
Back
Top Bottom