Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
Trump kupitia ukurasa wake wa X aliikosoa serikali ya Afrika Kusini kwa sera yake ya unyakuzi wa ardhi.
Babu kwenye tweet yake alisema Marekani itasimama kuchukua hatua na kusimamisha misaada yote inayoipa Afrika Kusini
Ramaphosa naye hajamlazia damu akamjibu kupitia ukurasa wake wa X sio kinyonge.
Babu kwenye tweet yake alisema Marekani itasimama kuchukua hatua na kusimamisha misaada yote inayoipa Afrika Kusini
Ramaphosa naye hajamlazia damu akamjibu kupitia ukurasa wake wa X sio kinyonge.