Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
- Thread starter
- #41
Kajibu kinyonge na kajitetea! Unajua kingereza kweli?
Hivi zile paragraphs 3 za kwanza za Cyril umezielewa?
Kama hauna idea na masuala ya diplomacy huwezi kumuelewa Ramaphosa. Cyril kamjibu babu kidiplomatic sana
Trump ni kiongozi ambaye huwa hana diplomatic views yeye anafikiria kila wakati ni ubabe angalia tofauti ya tweet ya Cyril na ya orange clown
Kama hauna idea na masuala ya diplomacy huwezi kumuelewa Ramaphosa. Cyril kamjibu babu kidiplomatic sana
Trump ni kiongozi ambaye huwa hana diplomatic views yeye anafikiria kila wakati ni ubabe angalia tofauti ya tweet ya Cyril na ya orange clown