TANZIA Rambirambi za mwanachama mwenzetu Warumi

Status
Not open for further replies.
Umaskini huwa unazalisha chuki, si rahisi kwa mtu mwenye kipato kuandika upumbavu kama huu.

Mjinga akinyamaza uhesabiwa hekima.
 
Nadhani miaka iliyopita wakati Member wa JF walipochanga pesa na kwenda kutowa misaada hospitali ya ocean road hukuwemo humu, na watu walipiga picha na zikarushwa humu bila kudisclose ID ya mtu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…