Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Taratibu za JF haziruhusuPicha yake iko wapi?
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taratibu za JF haziruhusuPicha yake iko wapi?
Ndio unapata bando leo?Rambirambi tunatuma wapi jamani?
Nimerusha 105,000/= naomba iwafikie walengwa/wafiwaNdio unapata bando leo?
[/QUOTE/]
okay nimeiona namba ya kutuma Rambirambi, nimerusha 105,000/=
Nimesikitika sikuona huu Uzi!Wanabodi, msiba ni kuzika.
Ninawaomba tukamzike mwenzetu, tukamzika vipi?kwa kushiriki ibada ya kumuaga pale kanisani Muhimbili saa 8 mchana.
Je, tutaenda kuaga hivi hivi mikono mitupu hapana ninaomba tujichange chochote kabla ya saa 8 mchana tukabidhi kwa familia.
Ninaomba rambirambi zote zitumwe kwa Hornet no ya kutuma rambirambi 0755_155782 Jacklin Tumaini au Jacklin Palangyo.
Mtandao ni Vodacom tujitahidi kabla ya saa nane mchana.
Ninaomba ukituma update hapa.
Tafadhali ninawaomba sana tuishike familia hii.
Binamu warumi ni wetu wote hapa celebrities.
UPDATE.
Kama utaweza kufika muhimbili saa 8 unaweza kunipm pia na kama itakupendeza rambi ramvi unaweza kutoa cash pale pale.
UPDATE.
Cash zilizokusanywa mpaka huu saa 6 na nusu ni 180,000.
Kwenye simu zimefika 32,000..
Update.
Humu jf zimekusanywa sh 345,000.
235,000 tulikabidhi msibani.
110,000 tumewarushia familia kwa njia ya simu.
Ahsanteni wote na ahsante uongozi wa jf kwa kushiriki nasi kwenye rambirambi hizi.
Zaidi, soma:
TANZIA - Mwanachama mwenzetu Warumi afariki dunia akipatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili
Kwa masikitiko makubwa ninapenda kuwapa taarifa ya mdau mwenzetu humu anayeitwa warumi amefariki usiku wa kuamkia leo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa anapambana kwa ugonjwa wa figo. Taarifa hii nimepewa na dada yake muda huu, msiba upo Tegeta . Msiba utasafirishwa kwenda Mbeya...www.jamiiforums.com
Si walikwishazika lakiniNimerusha 105,000/= naomba iwafikie walengwa/wafiwa
Rambirambi hainaga deadlineSi walikwishazika lakini
Nimerusha 105,000/= naomba iwafikie walengwa/wafiwa
[emoji23]kama jiweUmerusha kama mpira Au kama jiwe?
[emoji23]kama jiwe
Pole sana