reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
I wish wapigwe life ban.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu uzi zimetembea ban kinyama!
Sipendi mtu anaesengenya maiti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I wish wapigwe life ban.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu uzi zimetembea ban kinyama!
Acha kabisa binamuMmmh Binaadamu[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]. Tuwe na akiba ya maneno
We jamaa unajua tupo msibani!Nimetuma 50,000/= kimakosa badala ya 5,000/= tafadhali nirudishie 45,000/=
Duh Dada Leo kweli umechafukwa[emoji23][emoji23][emoji23]Natamani nichambe watu humu ila nitakula ban.
Itoshe kusema kama una vijihela vyako vya mawazo basi tulia,usitake kusumbua watu humu.
Hakuna aliyelazimishwa kutoa....
Kuna wapumbavu wanabwabwaja huko juu,hata Cha kutapeliwa hamna kazi kuwasumbua hawa wadada [emoji57]
Hovyoooo nyie.
Picha picha,mmeambiwa mkaage na mmeambiwa sehemu msiba ulipo ila mmekaza ubongo kazi kuwaza kutapeliwa,mtatapeliwa Nini?
Acheni upumbavu.
Kuna wajinga wengine bado hawajijui kama Ni wajinga,hata nyuzi za marehemu hamjasoma vizuri,kazi yenu kuunganisha dots kijinga na kuja na conclusion uchwara eti ooh tutatapeliwa,,hivi Nani awatapeli nyie?
Vingine vitoto vya chuo na buku zenu za kutosha kula ujasi ila hapa mpo kujiropokesha...
Hivi amu na Hornet waache kazi zao waje kuwatapeli watu hopeless nyie?
Sent using Jamii Forums mobile app
Poleni buddy!Habari za asubuhi,
Nadhani kutoa rambi rambi ni hiyari ya mtu, na hakuna aliela zimishwa kuchangia kwa ajili ya msiba,
Naona watu wana mu attack amu kuwa anataka kutapeli hiyo siyo kweli jamani. Mimi jana nilikua msibani kwa warumi na leo pia nitakuwepo hili swala hakuna utapeli hata kidogo na kama kuna mtu atahisi kuwa ametapeliwa kwa namna yoyote naomba hata mimi niwe responsible on that.
Hili jambo ni ukweli na tunajaribu ku support familia kwa namna tunayoweza, lakini its really sad the response unapata kwa watu. Watu tutaogopa kueleza matatizo yetu hapa aisee kwa namna hii.
Pole sana, usikatishwe tamaaNimeitwa majina yote
Ila Mungu ni mwema walichopata kitawasaidia msibani
Jamani poleni sana! R.I.P mkuu😪😪😪View attachment 1911203
Tunza maneno yako ndugu
Tusike walikofika kwa akina Steve Nyerere ambao ndio wachangishaji wakuu wa wacheza vidali po na kila siku lawama za kufa kufaana.Binafsi mambo ya kuchangishana pesa mitandaoni kwa watu tusiojuana kiundani siyakubali, nyie mnaojuana personally ni vyema mjichangishe na kwa sisi tusiojuana haina umuhimu kwa sababu kesho zitakuja tuhuma za utapeli humu.
Wengine humu hata tukifa taarifa zetu hamtapata.
Ndio maana huku hatupaswi kugombana kupitia utambulisho bandiaNdio Ndugu, halafu kumbe namfahamu basi tu majina ya JF
Wachangishaji walianza dharau
Ok sawa, ahsanteni hata kwa kutuwakilisha from jf, kazi nzuri na mbarikiwe🙏Wasiliana na amu atakupatia namba ya Dada yake Marehemu Warumi
Ok sawa, ahsanteni hata kwa kutuwakilisha from jf, kazi nzuri na mbarikiwe[emoji120]
Kwenye mahesabu yako maxence ametuma 100,000 kwa dada usiku huu.