Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Daaah Binamuuuu[emoji120][emoji120][emoji120]
View attachment 1911203
Tunza maneno yako ndugu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 1911203
Tunza maneno yako ndugu
Naku-pm details
Hakuna kitu kigumu kama kuchangisha rambirambi. Nishachangisha mara nyingi ila inakula muda na ina kero za kutosha
Pole sana ndugu yangu amu ... kazi uliyofanya ni njema sana na lawama na matusi ndio huwa ni malipo yake na umefanya vyema sana kutoweka namba ya familia ingekuwa aibu sana kwa comments kama hizi.
Binafsi namfahamu amu najua fika awezi kula hela ya rambi rambi... sema wana jf wengi huwa wanaona kila mtu ni tapeli maana wamezoea kutapeliwa humu kwa hiyo huwa hawajui kama kuna watu humu awawezi kutapeli....
Wengi humu hawatoi michango wanachotoa ni matusi na angalizo tuu kwa hiyo walalamikaji wengi huwa sio watoaji......
His fate is no more mkuuWell said japo watasema ni ID nyingine ya Amu
ngoja waje watakuambia wewe afisa mipango wangu.Pole sana ndugu yangu amu ... kazi uliyofanya ni njema sana na lawama na matusi ndio huwa ni malipo yake na umefanya vyema sana kutoweka namba ya familia ingekuwa aibu sana kwa comments kama hizi.
Binafsi namfahamu amu najua fika awezi kula hela ya rambi rambi... sema wana jf wengi huwa wanaona kila mtu ni tapeli maana wamezoea kutapeliwa humu kwa hiyo huwa hawajui kama kuna watu humu awawezi kutapeli....
Wengi humu hawatoi michango wanachotoa ni matusi na angalizo tuu kwa hiyo walalamikaji wengi huwa sio watoaji......
His fate is no more mkuu
Mwacheni apumzike kwa amani
Poleni kwa changamoto
Polee amu....Ila maji ukiyavulia nguo sharti uyaogee....komaaLeo nimeyavagaa, nitaogeshwa hatari.
ukitaka ukate tamaa kuingia humu basi hayo maneno ya wana jf humu yakupane kwenye akili yako.... mimi humu nina miaka mingi hivyo wana jf hizi ndio tabia zao kuwalaumu watu na kuwatukana hata kama hawana uhakika..... Mimi nimeshiriki mikusanyiko yote ya wana jf hapo nyuma kwa hiyo kuna watu naweza nikawatetea maana hata mchana kweupe nawafahamu kwa sura......Well said japo watasema ni ID nyingine ya Amu
ukitaka ukate tamaa kuingia humu basi hayo maneno ya wana jf humu yakupane kwenye akili yako.... mimi humu nina miaka mingi hivyo wana jf hizi ndio tabia zao kuwalaumu watu na kuwatukana hata kama hawana uhakika..... Mimi nimeshiriki mikusanyiko yote ya wana jf hapo nyuma kwa hiyo kuna watu naweza nikawatetea maana hata mchana kweupe nawafahamu kwa sura......
Jf inaweza ikakufanya ukachanganyikiwa ukizingatia sana hizi comments
Personally I trust you!!na ninakujua how real your.tuko pamojaaaaMimi nimeshamaliza.
Nitawapa updatea watu wa mbeya.
Halafu wanaotukana na kuchamba bado hajanikeraaaa yaani sijakereka kabisaaaaa.
Picha imeniliza hii r.i.p my friend napitia PM nikiumia chrts zetuView attachment 1911203
Tunza maneno yako ndugu
Watu walikua wanataka prove na sio maneno mengi utazani wote tunaishi dar kwamba twende tuka one kama msiba upo kweli ....View attachment 1911203
Tunza maneno yako ndugu
Imagine Kama huko aliko marehemu anazisoma hizi kumbe na hii mitifuano kwa ajili yake mpaka kuna makaburi yasiyohusika yanafukuliwa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Pole kwa kazi kubwa uliyoifanya tangu jana,hakika jitihada zako zimeonekanaMimi nimeshamaliza.
Nitawapa updatea watu wa mbeya.
Halafu wanaotukana na kuchamba bado hajanikeraaaa yaani sijakereka kabisaaaaa.