TANZIA Rambirambi za mwanachama mwenzetu Warumi

TANZIA Rambirambi za mwanachama mwenzetu Warumi

Status
Not open for further replies.
Suala ni la hiari na ukiona huwezi tafadhali kaa kimya usitoe maneno ya dhiaka wala kuwakwaza wenzio. Warumi amepumzika na atazikwa tu bila hata hiyo hela yako unayoona ni ya maana katika kipindi hiki kigumu. Wewe mwenyewe hujui kesho yako. Tuliotayari tunachanga.
 
Wala hakuna atakaelia juu ya hili. Isitoshe hii siyo mara ya kwanza kuchangishana rambirambi humu na zoezi kwenda vizuri

Kama hauko kwenye position ya kutoa ama una wasiwasi basi ni vema ukakaa kimya ndugu na kuwaacha wengine kushiriki jambo jema kama hili kuliko kuleta mambo hasi katika mambo chanya
Jamani wewe hata kuniambia mm nilikuwa sijui jamani mweee!!! [emoji24] RIP Warumi
 
Lililo kubwa warumi kalala hana maumivu wala kuteseka tena... Kuna siku nasi tutakuwa kama yeye.. Kwa njia gani? Hiyo ni fumbo la kifo..
Haya mengine yooote ni ya sisi ambao bado tunahema na hatuko kwenye shuka nyeupe tukisubiri majibu ya tabibu...!!!

Pumzika binamu! Kuishi ni Kristo, kufa ni faida...ndio maana baadhi ya tamaduni hufanya karamu....
giphy.gif


Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Mimi naona hili swala linahitaji busara na uvumilivu, hapa JF asilimia kubwa tunatumia fake ID meaning kwamba kila mtu analinda identity yake na Jamii Forums ina jukumu kubwa pia la kulinda Identity za wanachama wake kwa sababu za kiusalama

Ningeomba tuheshimu hilo, wengi hatufahamiani bali tunakutana tu kwenye mijadala na tunaiacha hapa,linapotokea swala la msiba wa mwanachama ningeomba Jamii foruma iweke utaratibu wa kutangaza mwanachama aliefariki lakini swala la kuwachangisha wanaJF naona kama halijakaa sawa unless kuwe na mfuko unaoratibiwa na JF au moderators

Wale wanaofahamiana nje ya Jamii forum ni vizuri mambo ya nje ya JF yakaishia nje ya JF ili kulinda heshima na usiri wa muhusika, suala la msiba ni la kifamilia pamoja na ndugu wa karibu na marafiki walioshibana na sio suala public, kwa hiyo ningeomba wale marafiki wa karibu wa marehemu washirikiane bega kwa bega na ndugu pamoja na familia lakini tusifike mahali tukaoverreact au kubishana kwa sababu ya hili jambo.kumbuka kila mtu ana jisi anavyochukulia mambo ukizingatia kwamba haya ni mambo ya mtandaoni

Wale watakaoguswa kuchangia watachangia lakini naomba Maxence Melo hili suala uliangalia mara mbili na utoe mwongozo kama itatokea in future kwa sababu sioni kama limekua handled properly, kuna mapungufu mengi

Hapa jukwaani tuendelee kubaki kama tulivyo na hakuna haja ya kureveal Identity ya mtu au sensitive information misiba inapotokea.

Natoa pole sana kwa wafiwa na ninaomba tuungane kwa watakaoguswa kuchangia
Unabusara sana dada
 
JF huwa kuna syndicate za utapeli, I personally can sense it from far, lakini kwenye hili jamani liacheni kama haujawiwa kuchangia si lazima.

Si vizuri kuuhusisha msiba huu na utapeli. Kwanza tumepewa taarifa jana, mmeelekezwa kwao kwa wanaotaka kwenda msibani, mmeambiwa msogee muhimbili kwa waliopo au ibadani. Hata ID za wahusika, please ziheshimuni. Hiyo michango mnadhani itakuwa shingapi na wagawane shingapi? Grow up people!
MNH kila siku pale kuna misiba..tutajua yupi ni yupi?wanaojuana wachangishane..
 
Mimi naona hili swala linahitaji busara na uvumilivu, hapa JF asilimia kubwa tunatumia fake ID meaning kwamba kila mtu analinda identity yake na Jamii Forums ina jukumu kubwa pia la kulinda Identity za wanachama wake kwa sababu za kiusalama

Ningeomba tuheshimu hilo, wengi hatufahamiani bali tunakutana tu kwenye mijadala na tunaiacha hapa,linapotokea swala la msiba wa mwanachama ningeomba Jamii foruma iweke utaratibu wa kutangaza mwanachama aliefariki lakini swala la kuwachangisha wanaJF naona kama halijakaa sawa unless kuwe na mfuko unaoratibiwa na JF au moderators

Wale wanaofahamiana nje ya Jamii forum ni vizuri mambo ya nje ya JF yakaishia nje ya JF ili kulinda heshima na usiri wa muhusika, suala la msiba ni la kifamilia pamoja na ndugu wa karibu na marafiki walioshibana na sio suala public, kwa hiyo ningeomba wale marafiki wa karibu wa marehemu washirikiane bega kwa bega na ndugu pamoja na familia lakini tusifike mahali tukaoverreact au kubishana kwa sababu ya hili jambo.kumbuka kila mtu ana jisi anavyochukulia mambo ukizingatia kwamba haya ni mambo ya mtandaoni

Wale watakaoguswa kuchangia watachangia lakini naomba Maxence Melo hili suala uliangalia mara mbili na utoe mwongozo kama itatokea in future kwa sababu sioni kama limekua handled properly, kuna mapungufu mengi

Hapa jukwaani tuendelee kubaki kama tulivyo na hakuna haja ya kureveal Identity ya mtu au sensitive information misiba inapotokea.

Natoa pole sana kwa wafiwa na ninaomba tuungane kwa watakaoguswa kuchangia
Umeongea kwa busara kubwa sana..huu ndiyo ukweli!!
 
Bado Dakika kadhaa kabla ya deadline michango. Wajinga ndio waliwao.

Hakuna deadline ya mchango/rambirambi
Atakaejisikia anaweza kuchangia familia itakaposafiri kwenda Mbeya

Naona hili jambo linakukereketa sana, na kama halikugusi sielewi unasubiri nini hapa mpaka muda huu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom