secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Kuna kanisa pale Muhimbili wamesema misa ya kumuombea marehemu saa nane mchana unaweza ukasogea kanisani mida hiyoNiko jirani na muhimbili sasa hapo mortuary ukisema warumi watamjua kweli ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kanisa pale Muhimbili wamesema misa ya kumuombea marehemu saa nane mchana unaweza ukasogea kanisani mida hiyoNiko jirani na muhimbili sasa hapo mortuary ukisema warumi watamjua kweli ?
Jamani wewe hata kuniambia mm nilikuwa sijui jamani mweee!!! [emoji24] RIP WarumiWala hakuna atakaelia juu ya hili. Isitoshe hii siyo mara ya kwanza kuchangishana rambirambi humu na zoezi kwenda vizuri
Kama hauko kwenye position ya kutoa ama una wasiwasi basi ni vema ukakaa kimya ndugu na kuwaacha wengine kushiriki jambo jema kama hili kuliko kuleta mambo hasi katika mambo chanya
Pole dear wanguJamani wewe hata kuniambia mm nilikuwa sijui jamani mweee!!! [emoji24] RIP Warumi
Wife hua ananiambia kwamba....
Nikiwaga Sina pesa, nakuaga mkali sana. Na kilakitu nahitaji justification...teh[emoji23]
Hahahahaa nimezeeka na majukumu mengi,ila una namba hata ungenitonya huko [emoji846]Pole dear wangu
Tatizo unapotea sana nawewe[emoji22]
Unabusara sana dadaMimi naona hili swala linahitaji busara na uvumilivu, hapa JF asilimia kubwa tunatumia fake ID meaning kwamba kila mtu analinda identity yake na Jamii Forums ina jukumu kubwa pia la kulinda Identity za wanachama wake kwa sababu za kiusalama
Ningeomba tuheshimu hilo, wengi hatufahamiani bali tunakutana tu kwenye mijadala na tunaiacha hapa,linapotokea swala la msiba wa mwanachama ningeomba Jamii foruma iweke utaratibu wa kutangaza mwanachama aliefariki lakini swala la kuwachangisha wanaJF naona kama halijakaa sawa unless kuwe na mfuko unaoratibiwa na JF au moderators
Wale wanaofahamiana nje ya Jamii forum ni vizuri mambo ya nje ya JF yakaishia nje ya JF ili kulinda heshima na usiri wa muhusika, suala la msiba ni la kifamilia pamoja na ndugu wa karibu na marafiki walioshibana na sio suala public, kwa hiyo ningeomba wale marafiki wa karibu wa marehemu washirikiane bega kwa bega na ndugu pamoja na familia lakini tusifike mahali tukaoverreact au kubishana kwa sababu ya hili jambo.kumbuka kila mtu ana jisi anavyochukulia mambo ukizingatia kwamba haya ni mambo ya mtandaoni
Wale watakaoguswa kuchangia watachangia lakini naomba Maxence Melo hili suala uliangalia mara mbili na utoe mwongozo kama itatokea in future kwa sababu sioni kama limekua handled properly, kuna mapungufu mengi
Hapa jukwaani tuendelee kubaki kama tulivyo na hakuna haja ya kureveal Identity ya mtu au sensitive information misiba inapotokea.
Natoa pole sana kwa wafiwa na ninaomba tuungane kwa watakaoguswa kuchangia
MNH kila siku pale kuna misiba..tutajua yupi ni yupi?wanaojuana wachangishane..JF huwa kuna syndicate za utapeli, I personally can sense it from far, lakini kwenye hili jamani liacheni kama haujawiwa kuchangia si lazima.
Si vizuri kuuhusisha msiba huu na utapeli. Kwanza tumepewa taarifa jana, mmeelekezwa kwao kwa wanaotaka kwenda msibani, mmeambiwa msogee muhimbili kwa waliopo au ibadani. Hata ID za wahusika, please ziheshimuni. Hiyo michango mnadhani itakuwa shingapi na wagawane shingapi? Grow up people!
Umeongea kwa busara kubwa sana..huu ndiyo ukweli!!Mimi naona hili swala linahitaji busara na uvumilivu, hapa JF asilimia kubwa tunatumia fake ID meaning kwamba kila mtu analinda identity yake na Jamii Forums ina jukumu kubwa pia la kulinda Identity za wanachama wake kwa sababu za kiusalama
Ningeomba tuheshimu hilo, wengi hatufahamiani bali tunakutana tu kwenye mijadala na tunaiacha hapa,linapotokea swala la msiba wa mwanachama ningeomba Jamii foruma iweke utaratibu wa kutangaza mwanachama aliefariki lakini swala la kuwachangisha wanaJF naona kama halijakaa sawa unless kuwe na mfuko unaoratibiwa na JF au moderators
Wale wanaofahamiana nje ya Jamii forum ni vizuri mambo ya nje ya JF yakaishia nje ya JF ili kulinda heshima na usiri wa muhusika, suala la msiba ni la kifamilia pamoja na ndugu wa karibu na marafiki walioshibana na sio suala public, kwa hiyo ningeomba wale marafiki wa karibu wa marehemu washirikiane bega kwa bega na ndugu pamoja na familia lakini tusifike mahali tukaoverreact au kubishana kwa sababu ya hili jambo.kumbuka kila mtu ana jisi anavyochukulia mambo ukizingatia kwamba haya ni mambo ya mtandaoni
Wale watakaoguswa kuchangia watachangia lakini naomba Maxence Melo hili suala uliangalia mara mbili na utoe mwongozo kama itatokea in future kwa sababu sioni kama limekua handled properly, kuna mapungufu mengi
Hapa jukwaani tuendelee kubaki kama tulivyo na hakuna haja ya kureveal Identity ya mtu au sensitive information misiba inapotokea.
Natoa pole sana kwa wafiwa na ninaomba tuungane kwa watakaoguswa kuchangia
Dada, confirm kama umepokea muamala wowote muda mchache uliopita.Aisee asiye amini yupo huru kutoa physical kama kweli Ana nia
Vinginevyo anaweza akaacha pia.
Bado Dakika kadhaa kabla ya deadline michango. Wajinga ndio waliwao.
Nimeona.Na confirm kwenye ule uzi mwingine
Refresh utaona updates
Sidhani kama kuna ulazima wa kujibishana na kila mtu...utapoteza muda na nguvu nyingi na matokeo yatazidi kuwa negative! Chagua kuwajibu ambao unaona wanastahili airtime yako!!!!!Report waufute.
Sidhani kama kuna ulazima wa kujibishana na kila mtu...utapoteza muda na nguvu nyingi na matokeo yatazidi kuwa negative! Chagua kuwajibu ambao unaona wanastahili airtime yako!!!!!
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Nisamehe bure mwaya next time nitakukumbuka dear wanguHahahahaa nimezeeka na majukumu mengi,ila una namba hata ungenitonya huko [emoji846]