TANZIA Rambirambi za mwanachama mwenzetu Warumi

TANZIA Rambirambi za mwanachama mwenzetu Warumi

Status
Not open for further replies.
Hujafa hujaumbika!

Michango ni hiari, kama unaona haiwezekani au sio sawa unaliacha tu unapita kwa amani, kimya, kuongea kwa kejeli na tuhuma za uongo sio vizuri kua makini usije jichumia laana bure, na kama ni sawa basi utoe kwa moyo na uwe na amani bila kujali hio rambirambi itaenda kufanya nini au kazi gani, lakini Mungu anaona na kua na imani kua atakubariki kwa ulichofanya, yaweza kua baraka kutoka kwa Mungu au Familia.

NB: Hali ya umaskini ni mbaya sana nchini, inapelekea hata kuharibu saikolojia ya mtu kudhani kila kilicho mbele yake ni utapeli. My friend kama umefikia stage hio, sahau.kufanikiwa maishani mwako. Utaendelea kumbwelambwela hivyo hivyo hadi mwisho wako.

R.I.P WARUMI.
 
Kuna watu wanakwaza sana ktk hii dunia subhanaa llaah...ya rrabbi nipe hekima na busara niweze kushinda ujinga wangu!
Hujalazimishwa kuchanga maneno mengi ya nini! Si upite tu!

Sio vzr hata kama ulikua na beef na mwendazake!
 
MNH kila siku pale kuna misiba..tutajua yupi ni yupi?wanaojuana wachangishane..
Mkuu, ukiona kiatu hakikutoshi ebu usilazimishe kukivaa.
Mfano mimi nikichanga, wewe kinakuuma nini..??
Yaani nikichanga Mimi, wewe unaumia wapi..??
Kwani nikichanga Mimi, wewe unaumia kwenye nini...??
Ebu nionyeshe unapo umua hasa.....
Anyway, kukosa pesa ni tatizo kubwa kwa binadamu na hata wewe sikushangai..🤓
 
kitaboy,

image-2021-08-27-15:05:41-592.jpg

Tunza maneno yako ndugu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom