TANZIA Rambirambi za mwanachama mwenzetu Warumi

TANZIA Rambirambi za mwanachama mwenzetu Warumi

Status
Not open for further replies.
Umaskini wa akili ni hatari kuliko umaskini wa Mali.

Mchango ni hiyari si lazima. Kutoa ni moyo.

Moyo wako kama haujaguswa ni hekima na busara zaidi kupita kimya kimya kwa kuwa hutopungukiwa chochote.

Moyo wako ukiguswa toa kama unatoa sadaka, bila kuwaza pesa zitafika kwa mlengwa au lah. Mungu wako anajua nina yako na INATOSHA sana.

Niwape pole walioratibu michango na pia niwape hongera. Penye heri na Shari ipo pia.

Apumzike kwa amani mwanaJf mwenzetu.
 
Natamani nichambe watu humu ila nitakula ban.

Itoshe kusema kama una vijihela vyako vya mawazo basi tulia,usitake kusumbua watu humu.
Hakuna aliyelazimishwa kutoa....

Kuna wapumbavu wanabwabwaja huko juu,hata Cha kutapeliwa hamna kazi kuwasumbua hawa wadada [emoji57]
Hovyoooo nyie.


Picha picha,mmeambiwa mkaage na mmeambiwa sehemu msiba ulipo ila mmekaza ubongo kazi kuwaza kutapeliwa,mtatapeliwa Nini?
Acheni upumbavu.

Kuna wajinga wengine bado hawajijui kama Ni wajinga,hata nyuzi za marehemu hamjasoma vizuri,kazi yenu kuunganisha dots kijinga na kuja na conclusion uchwara eti ooh tutatapeliwa,,hivi Nani awatapeli nyie?
Vingine vitoto vya chuo na buku zenu za kutosha kula ujasi ila hapa mpo kujiropokesha...
Hivi amu na Hornet waache kazi zao waje kuwatapeli watu hopeless nyie?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natamani nichambe watu humu ila nitakula ban.

Itoshe kusema kama una vijihela vyako vya mawazo basi tulia,usitake kusumbua watu humu.
Hakuna aliyelazimishwa kutoa....

Kuna wapumbavu wanabwabwaja huko juu,hata Cha kutapeliwa hamna kazi kuwasumbua hawa wadada [emoji57]
Hovyoooo nyie.


Picha picha,mmeambiwa mkaage na mmeambiwa sehemu msiba ulipo ila mmekaza ubongo kazi kuwaza kutapeliwa,mtatapeliwa Nini?
Acheni upumbavu.

Kuna wajinga wengine bado hawajijui kama Ni wajinga,hata nyuzi za marehemu hamjasoma vizuri,kazi yenu kuunganisha dots kijinga na kuja na conclusion uchwara eti ooh tutatapeliwa,,hivi Nani awatapeli nyie?
Vingine vitoto vya chuo na buku zenu za kutosha kula ujasi ila hapa mpo kujiropokesha...
Hivi amu na Hornet waache kazi zao waje kuwatapeli watu hopeless nyie?

Sent using Jamii Forums mobile app
Aya si Yalisha isha au ndo unaweka bando nini?
 
Natamani nichambe watu humu ila nitakula ban.

Itoshe kusema kama una vijihela vyako vya mawazo basi tulia,usitake kusumbua watu humu.
Hakuna aliyelazimishwa kutoa....

Kuna wapumbavu wanabwabwaja huko juu,hata Cha kutapeliwa hamna kazi kuwasumbua hawa wadada [emoji57]
Hovyoooo nyie.


Picha picha,mmeambiwa mkaage na mmeambiwa sehemu msiba ulipo ila mmekaza ubongo kazi kuwaza kutapeliwa,mtatapeliwa Nini?
Acheni upumbavu.

Kuna wajinga wengine bado hawajijui kama Ni wajinga,hata nyuzi za marehemu hamjasoma vizuri,kazi yenu kuunganisha dots kijinga na kuja na conclusion uchwara eti ooh tutatapeliwa,,hivi Nani awatapeli nyie?
Vingine vitoto vya chuo na buku zenu za kutosha kula ujasi ila hapa mpo kujiropokesha...
Hivi amu na Hornet waache kazi zao waje kuwatapeli watu hopeless nyie?

Sent using Jamii Forums mobile app

Just ignore them

Keyboard warriors
They fake and they want everyone else to fake
They preach nonsense and they want everyone to be like them

Don’t join them baby girl[emoji8]
 
Just ignore them

Keyboard warriors
They fake and they want everyone else to fake
They preach nonsense and they want everyone to be like them

Don’t join them baby girl[emoji8]
Kuna dogo hapo hela yenyewe ya boom ya chakula Cha buku ila kapo kupiga kelele ooh tutapigwa,,
Sasa katapigwa nini na hela zenyewe za kula mihogo ya ujasi hapo Udom[emoji57]
Stupid!

Kafieni mbele za visenti vyenu.
Kama hamtaki basi njoo tubishane[emoji38]tujinga nyie.
Eti mnataka proof,kwendeni zenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aya si Yalisha isha au ndo unaweka bando nini?
Bando ninalo siku zote na nyuzi zote za Warumi kuhusu yeye nilizisoma.


Shida ni nyie mnaoleta doubt za kijinga kwenye vitu siriazi..labda tuwaulize,kipindi warumi anaelezea kuhusu maswali mnayouliza Sasa pengine hamkuwa na bando..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bando ninalo siku zote na nyuzi zote za Warumi kuhusu yeye nilizisoma.


Shida ni nyie mnaoleta doubt za kijinga kwenye vitu siriazi..labda tuwaulize,kipindi warumi anaelezea kuhusu maswali mnayouliza Sasa pengine hamkuwa na bando..


Sent using Jamii Forums mobile app

Mamdogo kumbe unaweza kugomba?


[emoji1787][emoji1787] akhi nimecheka na siamini kama wewe Ndo upo na hii simu yako
 
View attachment 1911223
Safari ya Mbeya imeanza

Walioko Mbeya Tutawapa UPDATES
tushiriki kumpumzisha mwenzetu
Nashukuru nimeshiriki msiba wa binamu, poleni Hornet na amu kwa kutokuaminiwa, sisi tuliowaamini tumeshiriki kadri Mungu alivyotuwezesha. Nashukuru pia binamu anapelekwa nyumbani na coster ya kwaya yangu ninayoiimbia.....Mungu awatqngulie wafike salama[emoji120]
 
Nashukuru nimeshiriki msiba wa binamu, poleni Hornet na amu kwa kutokuaminiwa, sisi tuliowaamini tumeshiriki kadri Mungu alivyotuwezesha. Nashukuru pia binamu anapelekwa nyumbani na coster ya kwaya yangu ninayoiimbia.....Mungu awatqngulie wafike salama[emoji120]
MUNGU azidi kuibariki kwaya yenu [emoji120]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom