TANZIA Rambirambi za mwanachama mwenzetu Warumi

TANZIA Rambirambi za mwanachama mwenzetu Warumi

Status
Not open for further replies.
Inasikitisha sana watu wanakosa utu kiasi hichi. Sioni sababu ya kuwashutumu wanaojitolea kuchanga, ili mwenzetu akazikwe.

Kumbukeni kila mtu ni marehemu mtarajiwa.

So huko kushutumiana ni mbali mno, unakuta mtu anaogopa eti rambi rambi yake ya 10,000 anasahau tangu mwaka uanze serikali imeshamuibia mara mia ya hiyo hela na hakuna anachofaidika.

lets be humble guys.. tusionane wezi.. hatujafika hiyo stage, ni mbali sana
 
Poleni wote mlioguswa na msiba huu, poleni wale mliojitolea kusimamia na kuratibu uchangishaji/utoaji rambirambi. Lakini nimeguswa kwa namna ya pekee sijui kwa nini.

Nahisi kama jf tumeidhalilisha familia ya marehemu, the deceased didn't deserve this, kisa buku buku zetu ndio tuwadhalilishe familia kiasi hiki aisee? Ni kama vile marehemu aliomba akifa tumchangie wakati sio, inaumiza sana.

Kuna namna hizi mambo zinahitaji uratibu wa kiofisi, sio kwamba waliohusika kuratibu walikosea au matapeli, no! Ila kwa vile imani kwenye pesa sasa hakuna. Binafsi nikikata kamba hizi mambo kwa kweli hapana, those who know Eli/ERoni personally wanaweza kutoa taarifa, Ila privacy itakuwa jambo lenye heri sana, this isn't fair.
 
Poleni wote mlioguswa na msiba huu, poleni wale mliojitolea kusimamia na kuratibu uchangishaji/utoaji rambirambi. Lakini nimeguswa kwa namna ya pekee sijui kwa nini.

Nahisi kama jf tumeidhalilisha familia ya marehemu, the deceased didn't deserve this, kisa buku buku zetu ndio tuwadhalilishe familia kiasi hiki aisee? Ni kama vile marehemu aliomba akifa tumchangie wakati sio, inaumiza sana.

Kuna namna hizi mambo zinahitaji uratibu wa kiofisi, sio kwamba waliohusika kuratibu walikosea au matapeli, no! Ila kwa vile imani kwenye pesa sasa hakuna. Binafsi nikikata kamba hizi mambo kwa kweli hapana, those who know Eli/ERoni personally wanaweza kutoa taarifa, Ila privacy itakuwa jambo lenye heri sana, this isn't fair.
Umenena vema..
 
RIP homeboy.Mliowajibika Mungu awabariki, achaneni na wehu wachache walioivamia jf.Juzi tu nilikuwa Mabatini hapo na nilishinda sn pale juu Meta kwa mshkaji wangu wa kitambo Sajo.

Safari njema,apumzike kwa amani
 
Mungu ampumzishe binamu,
Yani kukosa kuingia jf kwa siku mbili tu nimekutana na habari mbaya hivi 😥😥 mi sio muandikaji Sana huku Ila huwa nasoma Sana thread zake kimya kimya nimeumia Kama namfahamu, poleni wote mlioguswa na msiba.
Kwa sie tuliochelewa kutoa rambirambi ndo tumepitwa au Kuna njia nyingine amu ?
 
R.I.P Binamu. 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

Sijawahi kupata ban miaka 10 niliyokuwepo JF nimeipata kwenye thread ya msiba wako.

UMENIWEZA Love.
Pumzika kipenzi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom