Tuwatafute na kuwachambua watu wenye good vibes wawe wanashikana mikono pamoja na kufanya ngono na masikini na watu waliopigika kiasi cha kukatia tamaa maisha,Ni kweli kabisa kuna namna unaweza kuambukizwa bad vibes au good vibes kwa njia ya sex na hata kuzungumza na kushikana mikono ,kuna watu ukikutana nao tu lazima uaribu siku yako nzima , au siku yako iwe ya furaha .
Huo ni mtazamo wako juu ya mada hii, nauheshimu na sina cha zaidi.Tatizo ni hiyo dini ya muarabu uliyomezeshwa.
Yaani mungu anafanya ngono iwe tendo takatifu, halafu anakuumba kwa namna ambayo unakuwa unalitamani ovyo ovyo
Akili au matope?
Unaweza kuwa maskini wa kila kitu ila una good vibes na una weza kuwa tajiri ila ikawa kinyume chake , umaskini ni sisi tumeutengeneza wenyewe pale tulipo amua kila kitu kipatikane kwa kukitafuta na kukipa thamani , unaweza kutafuta na ukakosa na pia ukapata inategemeana na mazingira , na nafasi mbalimbali.Tuwatafute na kuwachambua watu wenye good vibes wawe wanashikana mikono pamoja na kufanya ngono na masikini na watu waliopigika kiasi cha kukatia tamaa maisha,
Pia tuwafanye watu wenye good vibes viongozi wetu.
Bora tu kuwa tajiri mwenye bad vibes mkuu, masikini kapuku good vibes zinakusaidia nini sasa🤣Unaweza kuwa maskini wa kila kitu ila una good vibes na una weza kuwa tajiri ila ikawa kinyume chake ,
Hakuna sababu ya maana ya wewe kuwa tajiri mkubwa mwenye mali nyingi ,na huku wengine wanakosa mlo mmoja wa siku .Bora tu kuwa tajiri mwenye bad vibes mkuu, masikini kapuku good vibes zinakusaidia nini sasa🤣
Ndio maana kuna serikali,Hakuna sababu ya maana ya wewe kuwa tajiri mkubwa mwenye mali nyingi ,na huku wengine wanakosa mlo mmoja wa siku .
Serikali ni pamoja na mimi na wewe pia hauwezi kuwa tajiri mkubwa bila mkono wa serikali labda uishie kama matajiri wetu wa huko uchochoroni .Ndio maana kuna serikali,
Ni wajibu wa serikali kuwagaia chakula na kuwatunza raia wake masikini wasiojiweza.
Naomba somo,, vidonge vyanin ivi tena!?
Kweli kabisa, bila kuwa spiritual huwezi elewa. Pia kutokuwa spiritual haimaanishi huwezi kuwa affected.There's energy exchange ila kuona changes au effects zake lazima uwe spiritual pia.
vya NgwengweNaomba somo,, vidonge vyanin ivi tena!?
Mkuu unasemaje kuhusu anayepiga lita bila kuingiza kamba kisimani, naye ana exhange energy?There's energy exchange ila kuona changes au effects zake lazima uwe spiritual pia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna cha energy wala nini,acheni uzushi!
Una energy gani hapo tubadilishane mimi nina Mo energy na Red bull.Kutishana tu...... Eneji eneji nini!!!
Mie nna kisungura.....njoo tulipukeUna energy gani hapo tubadilishane mimi nina Mo energy na Red bull.
Ipo mkuu it depends na thoughts ulizonzo kipindi unapiga litaMkuu unasemaje kuhusu anayepiga lita bila kuingiza kamba kisimani, naye ana exhange energy?
Kwavile hawezi elewa, hata effects hawezi zifeelKweli kabisa, bila kuwa spiritual huwezi elewa. Pia kutokuwa spiritual haimaanishi huwezi kuwa affected.
Well, the fact that you have committed such act only one time , doesn't make the energy concept impossible.Am not sure if there is so called energy transfer during sex, may be because i did it once in my life.