Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Mad Max mtu mzito hiyo 80mill pesa dogo sana kwakeDuh mkuu mbona za 2014 huko bei bado imesimama kwenye £25,000 ambayo ni 80m bado TRA hamjatoana damu!
Auto Trader UK - New and Used Cars For Sale
Find your next car with Auto Trader UK, the official #1 site to buy and sell new and used cars. Over 400,000 cars online. Simple, easy, quick!www.autotrader.co.uk
hii ndio ume muhonga yule demu wako mzuri flani hivi mtamuuBase model ya RR Sports ya 2014 inavyotoka cheapest ilikua $60,000 hivi hapo bila on road costs.
View attachment 1991834
Umechana mkekaaa 😀😀😀😎Naomba nioneshe hio 2yrs old RR iliokuwa $400,000 ikashuka mpaka $40,000?
Nimeiona joberg hatari na nusu,tutafte hela bwanaHio si Vogue!
I’m speaking of the sport version yani sikuipenda jinsi ilivyoumbwa hasa muishilio wake nyuma!
hata wa diamond platinum.. kashiriki au humjuimdogo wake Burnaboy binti wa mwisho kwenye familia yao ameshiriki kwenye team iliyodesign na kuunda hili toleo jipya la Range Rover.
ndani sasa kwa sie wazee wa utelezi, mtoto akiingia tayari ExtrovertExterior design yake ipo so futuristic...poshy...sexy
Daah watu sijui mnafikiria nini aisee nimecheka balaa ujue..Kabisa tena Madalali wataiita "Range Macho ya Simba"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hakuna kitu kama hicho Mkuu hiyo gari mimi na utukutu wangu wote kwenye magari nabaki kuiangalia tuu...Naomba nioneshe hio 2yrs old RR iliokuwa $400,000 ikashuka mpaka $40,000?
Wanatumia ubongo wa wateja kutengeneza..Hii gari huwa hawaikoseagi yani
Holy man kiboko [emoji23][emoji23]wewe una RR ya aina gani mkuu au huyapendi kama mimi
Kwa kushika bei kiasi hicho .. mkuu wengi tungekamatia hizo machone hata kwa kujipiga pigaHoly man kiboko [emoji23][emoji23]
Land rover shikamoo! Mashallah....ipo siku
View attachment 1991506
Hili dubwasha nimelipendea zaidi show yake ya nyuma........huwa tunasema uzuri wa kondoo ni mkia,jamaa wametoa kali kulikoLand rover shikamoo! Mashallah....ipo siku
View attachment 1991506
Ya 2015 au 2016 RR biography ni hatari balaa ila humu mtu anakwambia unapata kwa bei za Ford Ranger...Kwa kushika bei kiasi hicho .. mkuu wengi tungekamatia hizo machone hata kwa kujipiga piga
Hafu juzi nakuta analiendesha Bill Nas, niliumia sana.hii ndio ume muhonga yule demu wako mzuri flani hivi mtamuu
Na hii nayo ni kutoka Bangalore au ni kutoka Westminster??
Mjini hapa, usihudumie kupita kiasi wahuni wana click ki zenj tu 😀😀😀Hafu juzi nakuta analiendesha Bill Nas, niliumia sana.
Ile Number Plate nimelipia Milion 10 kuandika lile jina, rangi ya Pink nimelipia Mil 12.
Kuna hajaya renew leseni yangu ya G-Lock.
Ghetto haliingii ndani hapo 😀😀😀.. umeme wake ni balaaa.. mtu akiingizwa kwenye majesta anakufa na kuoza, sasa huo mnyama...Gari kali kuliko ghetto sio 😂