Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimependa dashboard yake, haina mambo mengi.Duh pesa sabuni ya roho!
Eh kwetu itakuwa ni new model!itakuwa ni new model eeh 😀😀😀
Kwa mwaka haiwezi kuwa hivyo! 4-6 years walauRR zina depreciation kubwa kinoma. Utashangaa from $400,000 to $40,000 ndani ya 2 yrs. Imagine 10.
Hii gari huwa hawaikoseagi yaniLand rover shikamoo! Mashallah....ipo siku
View attachment 1991506
Hii gari huwa hawaikoseagi yani
Jamaa hawakoseagi yani!Duh pesa sabuni ya roho!
Yapo magari hayana mvuto bana kama Koinisegg yani kigari kimekaa shapeless hovyo kabisa japo magari ya hela ndefu ila yanaboa!Kwa sababu ndio toleo la wenye fweza kwa kampuni ya Landrover...
Extrovert hii si ndio unasema walikosea?This was the last good RR! The rest are not as goodView attachment 1991902
Hii picha nimeiona wiki iliyopita nikahisi ni concept image ya hiyo ndinga kumbe ni reality....
Jana nilienda kwenye B'day ya mshkaji nimerudi home na keki iliyobaki.
Nimechelewa kuamka ili ninywe chai mpakani asubuhi na mchana.
So saa hii nakunywa chai na keki ya birthday.
Naruhusiwa kusema 'One day yes' juu ya hii ndinga?
wewe una RR ya aina gani mkuu au huyapendi kama mimiRR zina depreciation kubwa kinoma. Utashangaa from $400,000 to $40,000 ndani ya 2 yrs. Imagine 10.