Range Rover lazima nimiliki aki bless

Range Rover lazima nimiliki aki bless

Kila la kheri mkuu! Nami nipo mlangoni kuvuta la ndoto yangu.
 
Nenda kwa yule mganga anayerusha punje za mahindi ili kuku wale
 
Mshamba sana wewe, kila mtu ana vitu anavyotamani vitokee, kwani tunsjenga taifa gani hilo?
Mawazo ya ki K sana
Kama vijana wa kitanzania ndio wanawaza haya, basi taifa limekwisha.
Kila la kheri.
 
Siamini kama mtu mzima wewe unaweza kuwaza uharo huu
Kwa hiyo hata siku ukimnunulia mkeo chupi mpya utatangaza?kumiliki Renj sisi inatuhusu nini?walionazo ulishawahi kuona wanajitanfaza? hili jukwaa limeingiliwa na vitoto vinavyowaza kunyonya kwa mama.
 
Saafi
usiniambie umechoka kumwona moo kila siku?

hata kwenye picha nayo huridhiki,unataka uingie na uimiliki?

Anza kuishi ki range range sasa,assume that it's already in your hand

Ule ubaili baili wa vicent cent achana nao,live that life you'll see range rover closer n closer
 
Back
Top Bottom