Vicky Cruz
Member
- Nov 11, 2017
- 85
- 214
Mm kiki integrate napata negative sijui nabugi wapiMkuu mbona niki differentiate napata zero...[emoji28][emoji28] hii equation yako itakuwa umeikosea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm kiki integrate napata negative sijui nabugi wapiMkuu mbona niki differentiate napata zero...[emoji28][emoji28] hii equation yako itakuwa umeikosea
Eti Renj ?? Unaurafiki na trafiki?
Njoo nikuonjeshe langu u-drive hata kwa siku mojaAfe kipa afe beki ndoto yangu ni kuja kumiliki Range Rover kali hata ya 200M other dreams remain constant.
Ili iweje?Fanyeni kazi
😋akitoka na mm naomba ntolee nuxNjoo nikuonjeshe langu u-drive hata kwa siku moja
Hata driving school hajaenda bado.Njoo nikuonjeshe langu u-drive hata kwa siku moja
Umeshaandaa mkakati?
Si kila ndoto hutimia.
Usijali. Ukiikosa basi check hata Land rover mandolin
Karibu....😋akitoka na mm naomba ntolee nux
Kama vijana wa kitanzania ndio wanawaza haya, basi taifa limekwisha.
Kila la kheri.
Kama vijana wa kitanzania ndio wanawaza haya, basi taifa limekwisha.
Kila la kheri.
Kwa hiyo hata siku ukimnunulia mkeo chupi mpya utatangaza?kumiliki Renj sisi inatuhusu nini?walionazo ulishawahi kuona wanajitanfaza? hili jukwaa limeingiliwa na vitoto vinavyowaza kunyonya kwa mama.
Achana na hako kala urojo kana mawazo ya kimasikin sana kama Ali K[emoji28]kwanini mkuu?inategemea na age!yuko sawa
usiniambie umechoka kumwona moo kila siku?
hata kwenye picha nayo huridhiki,unataka uingie na uimiliki?
Anza kuishi ki range range sasa,assume that it's already in your hand
Ule ubaili baili wa vicent cent achana nao,live that life you'll see range rover closer n closer