whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,904
- 9,342
Upo sawa mkuu, gari kama starlet kwa mwanaume sio poaNilivyo ishi nimegundua kuwa kuna Car-Gender.
Range Rover ni gari la Kiume Brother.
Na pia zipo gari za Kike.
Ila kutokana na hali tunajikuta tunamiliki gari za wenzetu bila kutambua.
Kwa hiyo la dada ako ndo lako?Hili dada yangu anatumia
Kuweka mafuta ya 10k kwenye 5l engine ni kujitafutia presha.Range Rover, Volvo, Benz, Audi Nk.
Ni gari za Matajiri wenye uwezo wa Kuagiza spea toka Nje muda wowote ule.
Injini ya Range inakula Petroli kama gari kubwa.
Wengi waliozinunua ktk makampuni ya miradi wameishia kuzipiga mnada au kuzipaki uani shauri ya ghalama za mafuta tu.
Kwa walio wengi wetu huku Africa, Toyota ndio chaguo sahihi.
Hivi gari ya 5l itakupa km ngap per lita?Kuweka mafuta ya 10k kwenye 5l engine ni kujitafutia presha.
Lazima ikushinde.
Hili ni taka taka
Shida sio gari shida Ni Nani huyo wa kukwambia chaguaGuys poleni na majukumu
Range ni gari ambayo haina mpinzani ni gari zuri sana na la heshima natamani sana kumiliki kama inatokea mtu ananiambia nichague gari basi nitachagua range π€π€π€ my dream car
Tumewahi toboa 60km na Jeep Grand Cherokee la 5.7L tena 4wd. Mkoani.Hivi gari ya 5l itakupa km ngap per lita?
Iko vizuri, pia mkuu nina swali, nataka nichukue corolla ya kizamani engine ipi bora kati ya 5e, 5e na 7eTumewahi toboa 60km na Jeep Grand Cherokee la 5.7L tena 4wd. Mkoani.
Kipindi hicho wakati mafuta bei ni around 2500.
Hemi 5.7L modern engine. Inakunywa vizuri kwa saizi yake.
Kitu kukubalika kwa wingi haimaanishi ni bora, hata kikiwa affordable kinaweza kisiwe bora pia, kipato cha mtanzania in majority Kinamruhusu kuwa na option ya brand nyingine ya magari, uzuri wa kitu unapimwa pale ambapo majority wenye uwezo wa kuwa na option nyingi lakini wakachagua kitu cha aina moja. Mfano. Mimi na wote tunaafford kununua chips na ugali lkn wote tunakununua ugali mana ake ugali ndo quality kwetuKuna mtifuano umezuka twitter kule.
Kuna mtu analeta ushabiki anapewa fact lakini helewi,kuna range halafu kuna gari linaitwa LC, hapo tunataja V8 zote mpaka hiyo mpya ya V6 2022.kwanza linauzika,pili sio gharama kulimiliki,na linahimiri mazingira yetu ya juakali na barabara za ahadi za uchaguzi.
Hiyo gari kwa namna ilivyopokelewa mtaani ni ishara njema sana kwamba toyota wameupiga mwingi kuanzia serikalini mpaka kwa mabro wenye kiburi hapa nchini.hilo range watu wana uwezo wa kuyanunua lakini wanayapotezea.
NaamNaruhusiwa kujibu?
OkGuys poleni na majukumu
Range ni gari ambayo haina mpinzani ni gari zuri sana na la heshima natamani sana kumiliki kama inatokea mtu ananiambia nichague gari basi nitachagua range π€π€π€ my dream car
Watu mna matani ya ajabu sana!
https://www.facebook.com/Guys poleni na majukumu
Range ni gari ambayo haina mpinzani ni gari zuri sana na la heshima natamani sana kumiliki kama inatokea mtu ananiambia nichague gari basi nitachagua range π€π€π€ my dream car
Guys poleni na majukumu
Range ni gari ambayo haina mpinzani ni gari zuri sana na la heshima natamani sana kumiliki kama inatokea mtu ananiambia nichague gari basi nitachagua range π€π€π€ my dream car