Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri povu la watoyota.Guys poleni na majukumu
Range ni gari ambayo haina mpinzani ni gari zuri sana na la heshima natamani sana kumiliki kama inatokea mtu ananiambia nichague gari basi nitachagua range 🤗🤗🤗 my dream car
Wewe tuko pamoja.V8 ni last of my dream car
🤣🤣🤣🤣🤣 na Bugatti je?Kwaiyo hata ROZI ROZI hujaiona?
Nimewaza tu kwasababu birthday yangu mtu anaweza amua anizawadie gari na mimi
Kila mtu huwa ana ndoto kubwa kulingana na mazingira yake. Mtu aliyepo bush kusiko na barabara, ndoto yake kubwa ni kuwa na punda kibao.Guys poleni na majukumu
Range ni gari ambayo haina mpinzani ni gari zuri sana na la heshima natamani sana kumiliki kama inatokea mtu ananiambia nichague gari basi nitachagua range 🤗🤗🤗 my dream car
Sijasankuhongwa af mimi wakiume zawadi umajua mimi marafiki zangu wako na pesap[emoji38][emoji38]birthday upewe range[emoji23][emoji23]
Kuota vikubwa ni maono,sema unaota vikubwa ktk mambo ya kipuuzi,inatakiwa hata uwaze siku ukibahatika kuzishika hela zako,utajinyakulia range yako ya kutukuka,sio kuhongwa kisa umetimiza miaka kadhaa.
Haitokuja kutokeakama inatokea mtu ananiambia nichague gari basi nitachagua range 🤗🤗🤗 my dream car
Sijasankuhongwa af mimi wakiume zawadi umajua mimi marafiki zangu wako na pesap
Hii gari haitii pua kwa Range ya 2022
Mhh unajua nuachoongea au stori za mitaani zinakuponzaHii gari haitii pua kwa Range ya 2022
Oohoooo 😂😂😂😂😂Sijasankuhongwa af mimi wakiume zawadi umajua mimi marafiki zangu wako na pesap
Oooh basi kesi iishie hapa.... kijana wa upinde wewe na unaota.....Kwaza ww unaendesha gari gani? Af kajala dada yangu siyo malaya
I said Hold on utapata range😄What 😂😂