Range Rover Vogue 2018 Muingereza hatari

Vijana, heshimuni wazazi walowazaa na kuwalea mpaka mkafikia kutuma meseji namna hii mitandaoni, upuuzi wa MAMA ni upi hapa!
bbc, ukinitukana nitakutukna ninavyoona itakuuma, ukose usingizi kama una mama! Kwani huwezi kujengo hoja bila kutumia neno upuuzi! Upuuzi ni tusi. Nitakurudishia.
 
bbc, ukinitukana nitakutukna ninavyoona itakuuma, ukose usingizi kama una mama! Kwani huwezi kujengo hoja bila kutumia neno upuuzi! Upuuzi ni tusi. Nitakurudishia.
Angalau basi ungesema "mpuuzi mwenyewe" kuliko kumleta mama asiyehusika kabisa!
 
Utabakia hivyo hivyo kijana! Hatari yake iko wapi? Hiyo migari mbona imejaa barabarani Bongo mpaka inatia degedege! Hizi ndio athari za kukaa utumwani.
Ww ambaye hukai utumwani tuonyeshe unatengeneza nn ambacho dunia inakikubali
 
Katika maisha yako yote ulishawahi kuona range rover imepinduka. Acha kuongea mambo ya mihemuko na vijiweni. Hizi ni story za vijiweni.
 
Katika maisha yako yote ulishawahi kuona range rover imepinduka. Acha kuongea mambo ya mihemuko na vijiweni. Hizi ni story za vijiweni.
Maybe wewe unaziona kwenye picha, mimi nimezimiliki na kuendesha.Hatufanani mkuu..
 
Acha kuchafua watu hao uliowasema ndiyo wameifanya nchi hii ijulikane.Kuzuia mikutano,uhuru wa habari,bunge na mahakama ndiyo uzalendo huo.Ndoto za kuwaongoza malaika ndiyo uzalendo.Umechafua thread kwa ufupi ungetuacha tuendelee kujadili kitu ya muingereza hapa hata kama hatuna siyo huo upupu uliotuwekea hapa.Afterlaw sioni makosa ya upinzani zaidi ya chuki za kisiasa.
 
hi bado ghali nimeona Ni pauni za Bibi 268,000. Ila haijatofautiana Sana Na renji 2017 ambayo Hadi 86,000 pauni za Bibi.

Nadhani kwa madafu iyo Hadi Kodi lazima ifike karibu billion.
Range rover Velar nadhani ndo latest na bei yake ni nyoko
 
Katika maisha yako yote ulishawahi kuona range rover imepinduka. Acha kuongea mambo ya mihemuko na vijiweni. Hizi ni story za vijiweni.
Si ndo najiulizaa range chiniii mana ata benz sijawaii ishuhudiaa imepata ajalii
 


Sport hilo la 2018.....acha kwanza tupambane na crown za mwaka 2008 japo tunaziita new model
Hahahahah gari ya miaka 9 nyuma bongo ndio inaitwa new model kudadadeki. Nchi yetu hii ila TRA mungu anawaona tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…