Range Rover Vogue 2018 Muingereza hatari

Range Rover Vogue 2018 Muingereza hatari

Halafu kuna kenge anasema yamejaa
Tatizo ya hizi gari base model na full loaded model hazina tofauti sana lakini bei ndio shida...
So unaweza kuta mtu ana base model ambayo bei yake inaweza kuwa hata chini ya hiyo bei iliyowekwa hapo
 
Ila wanako ilekea wataondoa mpaka hizo sterringi. Gari bila kupachika gia sita injoy huo mwaka wa kumiliki mabeki 3 watahisika kuziendesha
Ni kweli kabisa mkuu. Mimi binafsi hata hizi features kama Push to start, gear knob, automatic parking assistance, sensors n.k huwa havininogei kabisaaa. Gari zinakuwa kama game console au cockpit ya ndege.
Waache tupambane na kirungu cha gia na kuingiza funguo tuisikie ile tanyonyonyooo...
 
Ni kweli kabisa mkuu. Mimi binafsi hata hizi features kama Push to start, gear knob, automatic parking assistance, sensors n.k huwa havininogei kabisaaa. Gari zinakuwa kama game console au cockpit ya ndege.
Waache tupambane na kirungu cha gia na kuingiza funguo tuisikie ile tanyonyonyooo...
Kuendesha gari ni burudani kama ilivyyo kucheza mpira kwa mimi asa mechi tatu hujapigoli walau upige matobo basi ndo raha.

Kuendesha gari nzuri ni raha sana raha zaidi mikono na miguu ishughulike ndo rubudani et.
 
4883cf1e644f5f7bc1a0c5763c35b4e6.jpg
16e6e6c43d4ae32efa9571b332250eae.jpg
5b26c3c2c6e6712731991e765b23cb92.jpg
72f2f644d84cf9ae62a6069b4b7dd87f.jpg


Sport hilo la 2018.....acha kwanza tupambane na crown za mwaka 2008 japo tunaziita new model
 
Kuendesha gari ni burudani kama ilivyyo kucheza mpira kwa mimi asa mechi tatu hujapigoli walau upige matobo basi ndo raha.

Kuendesha gari nzuri ni raha sana raha zaidi mikono na miguu ishughulike ndo rubudani et.
Kabisa mkuu.
 
Hizo gari zinanunulika tatizo ni nchi ya kodi hii watakufurahisha.......
Et mama eeh nakubali.

Kuna watu wapo humu tz lakini hawatofautiani na wa ulaya tusishangae gari ipo kiwandani na m bongo keshailipia.

Kazi ya pesa ni matumizi at
 
We hujui gari ndio maana unaropoka, range zipo nyingi ila sio hilo toleo la 2018. Taa zake na rim ni tofauti na matoleo ya nyuma pia infotainment system yake ni full touchscreen.

Ukumbuke kuwa muundo wa hizo range rover hutofautiana kwa miaka.Mwaka 2013 ndio design mpya ya body ilitoka so range zilizofuata zote zilikuwa na muonekano mpya. Unaweza kuta unaongelea wingi kupitia matoleo ya 2013-2015 maana nyingi ndio zipo affordable hapo.
Point of correction mkuu extrovert,body zake zilianza kubadilika kuanzia mwaka 2014 na si mwaka 2013
 
Nenda kakojoe ulale, hii mada ni nzito sana kwako.
Hukunielewa au umekurupuka nime quote post na nilikuwa namjibu mtu aliyesema ameziona nyingi mpaka zinatia degedege barabarani ndiyo nimemwambia hili ni toleo jipya ni mwezi tu umepita yeye ameziona wapi huko barabarani nyingi?
 
Back
Top Bottom